Matope
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 892
- 679
Wanashawishi wasichana wawe na wanaume zaidi ya mmoja let say mmoja kwa ajili ya vocha mwingine matanuzi mwingine mambo flani!ili kukidhi haja zao hivi kinaporushwa maongezi yanakuwa ya namna hii kweli jamani inasikitisha sana kwa sababu kinaangaliwa na watoto wetu,dada zetu mama zetu na kuwafundisha kuwa ni vzr kuwa na mwanaume mmoja hebu me nafikiri wajalibu kufikiri namna au vitu vya kuonyweshwa kwenye publi kama ndo maongezi yao basi wayafanyie vyumbani mwao wajinga wakubwa!watia hasira sana!ahaaaaaaaa