flyn rider
JF-Expert Member
- Sep 24, 2013
- 456
- 77
mkuu samahani kutoka nje ya mada, nilitaka kufahamu ukimaliza kozi za agriculture engineering na irrigation and water resources engineering unapangiwa kazi na serikali au unatafuta mwenyewe?????
Nani akutafute?thubutuu,kuna course ya kutafutwa cku hz,huo udaktar mpaka uombe sio upo nyumban waje wakugongee..