BORNCV
JF-Expert Member
- Oct 11, 2011
- 242
- 46
Kwanza kabisa ni nimpongeze mh. G. Lema kwa kutopoteza muda kukata rufaa.
Maana haki haikutendeka kwenye hukumu ya kesi hiyo.
Pili ni ishukuru ccm kuamua kumvua ubunge mh. G. Lema maana imekuwa kama amempiga teke chura aliyekuwa anajiandaa kuruka kuelekea upande ule ule, kila mtu anajua hata Mh. Rais wetu kwambo ccm imekosa muelekeo imelewa uroho wa madaraka, inanuka damu ya wananchi waliokufa kwa kukosa huduma bora. Ifikapo mwaka 2016 tutahakikisha viwanja vyote vya michezo kila mkoa ambavyo ccm inasema ni vyao na majengo yote ya gorofa yaliyokuwepo kabla ya vyama vinataifishwa na kurejeshwa sekalini, na viongozi wote wakuu wa nchi waliotumia madaraka vibaya tutawafungulia mashitaka.
Maana haki haikutendeka kwenye hukumu ya kesi hiyo.
Pili ni ishukuru ccm kuamua kumvua ubunge mh. G. Lema maana imekuwa kama amempiga teke chura aliyekuwa anajiandaa kuruka kuelekea upande ule ule, kila mtu anajua hata Mh. Rais wetu kwambo ccm imekosa muelekeo imelewa uroho wa madaraka, inanuka damu ya wananchi waliokufa kwa kukosa huduma bora. Ifikapo mwaka 2016 tutahakikisha viwanja vyote vya michezo kila mkoa ambavyo ccm inasema ni vyao na majengo yote ya gorofa yaliyokuwepo kabla ya vyama vinataifishwa na kurejeshwa sekalini, na viongozi wote wakuu wa nchi waliotumia madaraka vibaya tutawafungulia mashitaka.