Gama
JF-Expert Member
- Jan 9, 2010
- 13,266
- 4,716
JF, ninahisi MEDIA zimezibwa mdomo juu ya kutoa taarifa ya kinachoendelea huko tunduru, hata hivyo, nimedokezwa na mtu mmoja aliyekuwa Namtumbo kuwa kuna kampeni inaendelea kwenye nyumba za ibada kuwa waislam waepuke kuishi nyumba moja na wasio waislam.
MYTAKE: JE, NI MAANDALIZI YA VITA YA MAANGAMIZI KWA WASIO WAISLAM. UKIMYA WA SERIKALI PIA UNATIA MASHAKA.
MYTAKE: JE, NI MAANDALIZI YA VITA YA MAANGAMIZI KWA WASIO WAISLAM. UKIMYA WA SERIKALI PIA UNATIA MASHAKA.