friendsofjeykey
Senior Member
- Aug 12, 2010
- 129
- 13
Hivi mmeona ule upuuzi unaotaka kuendelea pale Salender Bridge? umeanza upande wa Ubalozi wa Urusi....
Mwenye macho haambiwi ona
Mwenye macho haambiwi ona
Upuuzi upi huo fafanua,si wote tupo dar au tumepita hapo salender bridgeHivi mmeona ule upuuzi unaotaka kuendelea pale Salender Bridge? umeanza upande wa Ubalozi wa Urusi....
Mwenye macho haambiwi ona
kunani? wengine tupo dunia nyingine hatupiti hapo salenderHivi mmeona ule upuuzi unaotaka kuendelea pale Salender Bridge? umeanza upande wa Ubalozi wa Urusi....
Mwenye macho haambiwi ona
Jamani kuna nguzo zimechimbiwa kuanzia ubalozi wa Urusi hadi darajani. Inaonyesha kuwa kuna bango kubwa sana lintawekwa ambalo litaziba mandhari yote ya eneo lile ndiyo maana waheshimiwa wanasema upuuzi. Kwa kweli ni jambo zuri. Ni vizuri wahusika wakachukua hatua sasa wasingoje when is too late.
Kuna nini wewe Acha kutuzingua,:mad2: Leo hujaenda Fiesta :A S 100:Hivi mmeona ule upuuzi unaotaka kuendelea pale Salender Bridge? umeanza upande wa Ubalozi wa Urusi....
Mwenye macho haambiwi ona
Wamesimika ngozo, nadhani wanataka kuweka mabango makubwa ya biashara
Amemaanisha NGUZO.Tupe maana ya neno NGOZO
Nakumbuka kuna mwaka mtu mmoja alitaka kushitakiwa na tume/baraza la mazingira kwa kukata mikoko na kutaka kuweka bango la tangazo, sasa inakuwaje sasa hivi waruhusu?
Wamesimika ngozo, nadhani wanataka kuweka mabango makubwa ya biashara
basi kazi ipoBongo ukisikia mtu anakubania usifanye jambo fulani mahala fulani ujue anataka umpoze.
Watu watakuwa wameshapozwa tayari.
[Na hilo bango lazima litakuwa na watu wa Bombay tu]