Erasto..sichila
Member
- Apr 9, 2012
- 78
- 8
Waziri mkuu Pinda binafsi sijawahi kuwa naye mahali popote nilimufahamu alipo teuliwa kuwa PM alipojiuzulu Lowasa ni mfipa asili nami pia toka kabila dogo la wanyamwanga 'fipa'naye ni' mupimbwe mufipa kwa faida yenu wafipa ni wapole toka ndani ya moyo yaani wanyenyekevu ndio maana hupenda kusalimia kwa kupiga magoti hawapendi kusalimiana na wakwe karibu mzazi wa kifipa anaweza kumuchapa mtoto wake wa kiume wa miaka 60 na huyo mtoto akatii sasa ndugu zangu tabia hizi zipo kwa Pinda.
PM zote hii ndio sababu mawaziri wana mupanda kichwani anashindwa kuwasema kwa kutii agizo la aliye wateuwa raisi, hataki kuwaudhi kumbe ndio wanamuchukulia poa mtoto mwizi akijua baba ni mpole basi anaweza kuuza mifugo yake yote kwa ansurance kuwa hawezi kumufanya lolote na hii hupelekea familia kuwa masikini na baba uzeeni kufa vibaya na hata kutelekezwa na walio kuwa wanamwibia mifugo yake ndivyo ilivyo mwisho wa siku wale walio kula nchi awamu ya nne watasema tatizo alikuwa waziri Pinda mtoto wa mkulima kifipa 'ekalima wa londe'
PM zote hii ndio sababu mawaziri wana mupanda kichwani anashindwa kuwasema kwa kutii agizo la aliye wateuwa raisi, hataki kuwaudhi kumbe ndio wanamuchukulia poa mtoto mwizi akijua baba ni mpole basi anaweza kuuza mifugo yake yote kwa ansurance kuwa hawezi kumufanya lolote na hii hupelekea familia kuwa masikini na baba uzeeni kufa vibaya na hata kutelekezwa na walio kuwa wanamwibia mifugo yake ndivyo ilivyo mwisho wa siku wale walio kula nchi awamu ya nne watasema tatizo alikuwa waziri Pinda mtoto wa mkulima kifipa 'ekalima wa londe'