Kina nani walimpigia JK kura ya Hapana?

Unakumbuka vizuri ziara ya JK mkoani Mbeya wakati wa uchaguzi?...unakumbuka kuwa aliwasisitiza wananchi kumchagua Mwandosya na kuwa anamhitaji sana mtu huyu.

Hakusema Mwandosya bali alisema prof.alikuwa ana maana huyo mwana mtandao waziri wa afya sijuhi anaitwa nani?

Msauzi,

Nafikiri una maana Prof. Mwakyusa. Huyu ndiye miaka yote ana matatizo makubwa kule kwake, mwaka 2000 ilibidi prof. Mwandosya ahamie kwenye jimbo lake kumsaidia. Hata mwaka 2005 bado alikuwa na matatizo mengi.

Prof. Mwandosya alipita bila kupingwa chaguzi zote mbili yaani 2000 na 2005.

Prof. Mwakyusa ni mwanamtandao na watu walikuja kujua ikiwa too late vinginevyo kwenye mchujo wa CCM huenda asingelipita. Pia inaelekea atakuwa na kibarua kigumu sana mwaka 2010 kule jimboni kwake.
 
Msauzi,

Prof. Mwakyusa ni mwanamtandao na watu walikuja kujua ikiwa too late vinginevyo kwenye mchujo wa CCM huenda asingelipita. Pia inaelekea atakuwa na kibarua kigumu sana mwaka 2010 kule jimboni kwake.

The word is that - Mwakyusa was mtandao as you say but he has flipped and now he's with Mwandosya. Why? In my view, its either he is smart enough to realize mtandao is doomed to fail OR he has realized that he cannot sustain in his constituency without Mwandosya. Either way, he is absolutely correct. 2010 is a big challenge for Mwakyusa as you say so as it is a challenge for Mtandao.

Fact - leaked details - the word is that mtandao plan to fix mwakyusa in the upcoming reshuffle, for abstaining from Mtandao. Given this fact, what might happen? In my view, Mwakyusa will either be demoted and become the minister of state in the prime minister's office or he will be sent to an inferior ministry, most likely ministry of labor, youth and sports. As it stands now, Mwakyusa is more senior (or at least mwandosya was made to see that) than mwandosya as the former leads a full portfolio ministry.

Fact versus Fiction:
Fact - During his campaing trail, JK had mentioned that he needs both of the professors in his government, and therefore voters Rungwe (east and west) should deliver them for him. It is very clear in the records that JK had mentioned that he needs both of them, not just prof. mwakyusa. The interpretation by many is that - Jk made a deliberate move so as to counter balance Mwandosya's influence in the region. Otherwise, it is not normal for a president to pick MPs from the same area for the cabinet. It only happened once in the 1970s when Nyerere, for similar reasons picked MPs for Same East and Same West (Chadiel Mgonja and Eliufoo) for the cabinet.
 
I love JF too. Kinachofurahisha hakuna tusi lilitolewa na yeyote katika mjadala huu, that's why most of us are ADDICTED to JF...:)
 
Umenichekesha sana Steve, naona unaleta zile za wafuasi wa Mrema za kusema "Tumfuate Lyatonga Popote (TlP)!

Sasa ni hivi, wanasiasa watanzania hasa hao wazee wa zamani hawana ujasiri. Utasubiri sana kumuona mtu kama Mwandosya anahami upinzani, hana ujasiri huo. Hapo alipo yupo CCM kimwili tu lakini ki-akili hayupo huko lakini kwa kukosa ujasiri ameshindwa kuundoa mwili wake huko. Katika kundi hili pia yumo Magufuli. Hapo ndipo nitapowaheshimu wanasiasa wa Kenya kwa ujasiri.

So, ndugu yangu nguvu zetu tuziweke kwetu wenyewe. We make politics sisi wenyewe tukiungana na vijana wengine kama akina Zitto, Mnyika, n.k. Hii ya kusubiri wazee wa CCM tutasubiri sana. Kama kuna mtu wa kwanza kutoka CCM alikuwa Malecela, lakini wapi, ameudhiwa wewe yeye aling'ang'ania tu. Sio kwamba aliipenda sana CCM, bali alikosa ujasiri. Na kwa kukosa ujasiri huu ameondoa katika siasa na amekwamisha kabisa utabiri wa Nyerere!


CCM NI CHAMA CHA KITAIFA NA WALA SIYO CHAMA CHA MTU.
WANASIASA HATA WALE WA UPINZANI WANATAMANI WANGEKUWA KWENYE CHAMA CHENYE MPANGILIO KAMA CCM.
KWA HIYO KAMA UNATAKA KUJIMALIZA KISIASA BASI TOKA KATIKA MFUMO WA CHAMA KILICHOJIJENGA KITAIFA NA MATOKEO YAKE KAMA MWANASIASA UTAYAONA.
ILI PROF. ANDELEE KUPATA MAFANIKIO ZAIDI YA KISIASA ATAENDELEA KUWA NDANI YA CCM NA NINAVYOJUA MIMI KUWA HANA UGOMVI WOWOTE NA MH. RAIS NA ANAMPA USHIRIKIANO KAMA KIONGOZI WAKE MKUU. MANENO MENGI YANAYOTOLEWA SIJAWAHI KUMSIKIA PROF. AKIONGELEA KUWA NA UGOMVI NA MH. RAIS.
PROF KAMA WANA-CCM WENGINE POPOTE WALIPO ANA NAFASI NZURI YA KUJIJENGA KISIASA, KUKIENDELEZA CHAMA CHAKE NA KUITUMIKIA NCHI KAMA AMBAVYO AMEKUWA ANAFANYA HIVYO KWA WAKATI WOTE.
NAWATAKIA MH RAIS NA PROF KILA LA HERI.
 
Jamani eeehhh!!! hawa jamaa wakiamua kumpiga chini mwandosya, wanaweza na hakuna madhara yoyote yatakayotokea tanzania. Mnakumbuka ushabiki wa mrema mwaka 1995??? Ni nani leo hii anayemzungumzia mrema???Nani anayemzungumzia kolimba leo hii??? Nani anayemzungumzia aboud jumbe leo hii??? tena jumbe mkumbuke alikuwa ni raisi wa zanzibar!!!

Ni lazima mjue tanzania kuna umafia wa hali ya juu. Huyo jamaa wanaweza kumtosa na hakuna chochote kinachoweza kufanyika. Tutapiga blaaa blaaa, hapa lakini ukweli ni kwamba huyo jamaa (prof.mwandosya) hamnyimi usingizi kikwete.

SIO UMAFIA, NI CHAMA! CHAMA KINA MFUMO WA KUWAPEMBUA WALE WOTE WANAOLETA UBINAFSI NDANI YA CHAMA. NA HII NDIYO NGUVU KUBWA, KILA MWANA-CCM ANAIFAHAMU.
 
unajua mtu ukisema UMAFIA sijui ni kwa mantiki gani ! lakini kama ilivyotumiwa hapo juu, kusema UMAFIA kumtosa mtu, basi naweza nikasema pia JF kuna UMAFIA kwa kupendelea watu fulani fulani !

ni hoja tu ! msinijie juu ka moto wa kifuu !
am auti !
 
Next, we hear JK might get it for 2005. On that note, professor commented that he cannot be led by a bogus and uneducated individual like JK. He further said - If JK wins the presidency in 2005, he will give up his citizenship and move to a new country.

Si vyema kumwekea Mwandosya maneno mdomoni na maneno uliyoyandika sasa nasahawishika ku-doubt ninachosoma kutoka kwako.

Maneno yako hayalingani na ukweli, unless unaamua kumpakazia Mh. Mwandosya.
 
Next, we hear JK might get it for 2005. On that note, professor commented that he cannot be led by a bogus and uneducated individual like JK. He further said - If JK wins the presidency in 2005, he will give up his citizenship and move to a new country.

Si vyema kumwekea Mwandosya maneno mdomoni na maneno uliyoyandika sasa nasahawishika ku-doubt ninachosoma kutoka kwako.

Maneno yako hayalingani na ukweli, unless unaamua kumpakazia Mh. Mwandosya.

Nimekusoma.
 
Mkandara Bob,

Heshima mbele mkuu, maana hapo umenena exactly my original question kwa Bubu, kwamba Mwandosya uzaidi wake over JK ni upi as far as our nation is concerned?

I have a lot of respect kwa Mwandosya, as a person na achievement zake academically, hilo halina ubisha kuwa yeye ni zaidi ya Muungwana, lakini politically, Muungwana ni zaidi so far kwa sababu kwanza alimshinda Mwandosya kwenye uchaguzi wa rais, na pili Mwandosya, alikubali mbele ya public kuwa Muungwana is better ndio maana amemshinda, na kwamba amejitahidi sana kushika nafasi ya tatu,

Nilikuwa na heshima sana Mwandosya, alipoamua kurudi shuleni to this day niko hewani as to why alirudi tena kwenye siasa kinyemela, maana sijawahi kuona statement yake kama ile ya yeye kurudi shuleni, akieleza kwa nini anarudi kwenye siasa, tena mpaka kuwa waziri wa the very same man aliyemkimbia na kurudi shuleni yaani Muungwana?

Dodoma majuzi nimeona Muungwana, akijaribu kuweka distance kati yake na Mtandao, sasa bado najaribu ku-read between the lines kama Muungwana amefanya hivyo kwa faida ya taifa, CCM, au kujiweka sawa yeye binafsi na term ya pili, it is remain to be seen!


DON'T FORGET POLITIC IS AN ART TOO. UNATAKIWA UWE MAHIRI. HAKUNA MAANDIKO YA KUELEKEZA UFANYE NINI KILA ASUBUHI HADI INAPOFIKA JIONI. NI UWEZO WAKO TU WA KUBAINI MAMBO HARAKA NA KUTAFUTA MAJIBU YA HARAKA VILEVILE. SI KILA MTU ANA UWEZO KAMA HUU INAPOFIKIA KATIKA SIASA.
 
lakini yote tisa nachojua Mbeya na hasa huko wilaya yao hawa jamaa kuna matatizo makubwa sana ya Ukabila kiasi kwamba sio swala la Mtandao ama elimu zao bali kabila lako... kumbukeni hawa jamaa wamesoma karibu wote ktk vinyang'anyiro vya uongozi. Na tukumbuke kuwa Mwandosya ktk pita zake zote toka huko nyuma Mtandao never existed ila tumekuja yajua haya yote mwaka 2005 tena basi Sam original ndiye alotupa majina ya wahusika.
Wilaya ya hawa wagombea wawili imegawanywa kiasi kwamba kuna wabunge wawili (Prof. Mwandosya - Rungwe mashariki na Prof. Mwakyusa- Rungwe magharibi),hivyo tusianze kuzua hapa kwamba Mwandosya kenda msaidia Mwakyusa ktk chaguzi za Ubunge. Wote wamekuwa na wakati mgumu sana inapofikia swala la kabila. Kifupi ktk mikoa yote pamoja na kwamba Mbeya ni CCM damu kuna matatizo makubwa ktk teuzi zao.
kwa sababu naelewa kuwa watanzania ni wepesi wa kusahau nitawakumbusha tena, Mwandosya na Mwakyusa wote wamepita mara zote kwa mapendekezo makubwa toka uongozi wa juu wa chama CCM, na kuondoa ubishi huu nadhani maelezo haya yata prove nilichosema:-
http://www.kikweteshein.com/habari/articles/66/1/Nawataka-maprofesa-hawa%2C-nipeni%2C-nitawatumia
 
lakini yote tisa nachojua Mbeya na hasa huko wilaya yao hawa jamaa kuna matatizo makubwa sana ya Ukabila kiasi kwamba sio swala la Mtandao ama elimu zao bali kabila lako... kumbukeni hawa jamaa wamesoma karibu wote ktk vinyang'anyiro vya uongozi. Na tukumbuke kuwa Mwandosya ktk pita zake zote toka huko nyuma Mtandao never existed ila tumekuja yajua haya yote mwaka 2005 tena basi Sam original ndiye alotupa majina ya wahusika.
Wilaya ya hawa wagombea wawili imegawanywa kiasi kwamba kuna wabunge wawili (Prof. Mwandosya - Rungwe mashariki na Prof. Mwakyusa- Rungwe magharibi),hivyo tusianze kuzua hapa kwamba Mwandosya kenda msaidia Mwakyusa ktk chaguzi za Ubunge. Wote wamekuwa na wakati mgumu sana inapofikia swala la kabila. Kifupi ktk mikoa yote pamoja na kwamba Mbeya ni CCM damu kuna matatizo makubwa ktk teuzi zao.
kwa sababu naelewa kuwa watanzania ni wepesi wa kusahau nitawakumbusha tena, Mwandosya na Mwakyusa wote wamepita mara zote kwa mapendekezo makubwa toka uongozi wa juu wa chama CCM, na kuondoa ubishi huu nadhani maelezo haya yata prove nilichosema:-
http://www.kikweteshein.com/habari/articles/66/1/Nawataka-maprofesa-hawa%2C-nipeni%2C-nitawatumia

Mkandara,

Inaelekea hujui kabisa Geography ya mkoa wa Mbeya. Wacha nikueleweshe, Wilaya ya Rungwe na Kyela zina Wanyakyusa karibu asilimia 100. Kwa maana hiyo kwenye hizo wilaya ukabila sio tatizo kwasababu karibu wote ni kabila moja. Kila atakayegombea
cheo chochote toka chama chochote most likely atakuwa Mnyakyusa.

Kyela ina watu waliohamia toka Ruvuma miaka mingi ya nyuma, kule wanaitwa Wakisi, hawa ni wachache sana na hawazidi hata asilimia 5.

Ileje ina Wandali kwa asilimia kubwa ingawaje kuna Wanyakyusa wachache sana, kiujumla viongozi karibu wote wanaotoka huko ni Wandali.

Tatizo la ukabila liko Mbeya mjini ambako kuna makabila mawili makubwa, Wanyakyusa na Wasafwa, pia kwasababu hapo ni mkoani basi kuna makabila mengine mengi pia. Hapo ndio kunakuwa na mambo ya ukabila wakati wa kampeni. Hicho sio kitu cha ajabu maana kinatokea hata sehemu nyingine.

Kama ni ukabila mwondoe kabisa Prof. Mwandosya kwenye hilo, yuko kama Watanzania wengine ambao wanaheshimu makabila yao lakini haya affect maamuzi yao.

Kumbuka mwaka huu CCM wamechagua mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mbeya ambaye sio Mnyakyusa wala Msafwa. Hii ni dalili siasa za mkoa ni zaidi ya ukabila. Halafu suala la Mwang'onda Na Mwandosya wote ni Wanyakyusa, tofauti tu mmoja ni wa kuzaliwa huko Mbeya wakati mwingine wazazi wake wamekulia nafikiri Tabora.

Inaelekea Mkandara habari ulizonazo kuhusu prof. sio sahihi kabisa. Hata link uliyotoa hailezi chochote kwamba prof. Mwandosya alikuwa na matatizo ya uchaguzi Mbeya. Sijui tume ya uchaguzi lini ilitangaza watu waliopita bila kupingwa ila nahisi
wakati huo JK anapita Mbeya, tayari prof. Mwandosya alikuwa ni mbunge mteule baada ya kupita bila kupingwa au ilikuwa siku chache kabla ya tume ya uchaguzi kumtangaza kwamba kuwa mbunge mteule.

Nakutumia link nyingine ya CCM na matokeo ya Wabunge, jina na
wilaya ya Prof. Mwandosya havimo kwasababu alipita bila kupingwa.
Hakukuwa na uchaguzi wa ubunge kwenye jimbo la Rungwe Mashariki. Ni sawa na ambavyo Lowassa alipita bila kupingwa kule kwao. Tofauti tu ni kwamba Prof. kapita bila kupingwa mara mbili zote.
http://www.ccmtz.org/ubungej.htm

Pia angalia kura za prof Mwakyusa, katika mkoa wa Mbeya upande wa CCM, yeye ndiye alipata asilimia ndogo ya kura kuliko wabunge wengine wa CCM? Why? mimi sijui, ninachojua tu ni kwamba 2005 alijitahidi sana maana mwaka 2000 aliponea chupu chupu, alimpita mpinzani wake kwa kura chache mno pamoja na prof. Mwandosya kutumia muda wake wote kumsaidia. Bado ninadhani 2010 kwa prof. Mwakyusa kutakuwa na ngoma nzito kule jimboni kwake. Si unajua hata kwenye uchaguzi wa CCM wilaya ya Rungwe mwaka huu, alizomewa na wananchi walikataa yeye kuwa msimamizi wa uchaguzi?
 
WANASIASA HATA WALE WA UPINZANI WANATAMANI WANGEKUWA KWENYE CHAMA CHENYE MPANGILIO KAMA CCM.


Ahhaa, wacha we, nani amekwambia au unajisemea tu? Mimi ni mojawapo wa hao wanasiasa wa upinzani na wala sitamani hata chembe kuwa CCM. Usipende kuwasemea watu, huna uwezo wa kujua wanachofikiria watu. Sema unachokijua ndugu!
 
Mtanzania,
[Inaelekea hujui kabisa Geography ya mkoa wa Mbeya. Wacha nikueleweshe, Wilaya ya Rungwe na Kyela zina Wanyakyusa karibu asilimia 100.

Kwanza nitaheshimu maelezo yako lakini sinta yaacha bila kupinga kuwa hakuna kata, wilaya ama Mkoa Tanzania wenye kabila moja 100% leo hii.
Pili, tunapozungumzia Ukabila ina maana nyingi sana mojawapo ni pale wakazi wa sehemu fulani wanapotaka kumchagua Kiongozi toka kabila lao tu!.. Hii ni Tanzania kila Mtanzania ana haki ya kugombea uongozi mahala popote pale bila kujali kabila yake na kama wilaya moja itakuwa na kijimila kisichojificha cha kuwa mgombea fulani lazima awe kabila fulani ama Nasaba fulani basi huo ni Ukabila by itself sio lazima kuwepo na makabila makubwa mawili yakipigania nafasi moja.
Nilichosema mwanzo ni kwamba mwandosya alipigiwa debe na JK mkakataa! nimetoa ushahidi sasa imekuwa swala la kupita kwa Mwandosya... nadhani nimesema toka nyuma kuwa ndani ya CCM Mwandosya kapendekezwa (support) mara kibao kuwa mgombea wa CCM toka juu kupinga hoja ya kuwa huyu Prof ana Beef na JK.
Nje ya chaguzi za CCM nimesema pia JK kawaomba wananchi wamchague... tofauti na ule uchaguzi wa mwakilishi ndani ya CCM. Katika chaguzi za Wilaya wapo Wanyakyusa na wananchi wakazi wa wilaya hizi wanaopinga Ukabila na wapo wanaoukumbatia..I'm talking about the crashes between these two...Get my point?
 
Mtanzania,


Nilichosema mwanzo ni kwamba mwandosya alipigiwa debe na JK mkakataa! nimetoa ushahidi sasa imekuwa swala la kupita kwa Mwandosya... nadhani nimesema toka nyuma kuwa ndani ya CCM Mwandosya kapendekezwa (support) mara kibao kuwa mgombea wa CCM toka juu kupinga hoja ya kuwa huyu Prof ana Beef na JK.
Heshima yako mkuu,
You do have very good points but on JK and MWandosya, please go do more research. It is laughable for one to say JK and Mwandosya are in excellent terms. You'd have made sense if the statement was - JK plays it very well, something which he has been applauded for by many. JK's advisers want Mwandosya out of the cabinet but JK seems to have a better plan - keep your enemies close.

Mwakyusa was appointed as a minister with full portfolio so as to counter balance the political power and influence that Mwandosya has in Mbeya. However, of late, Mwakyusa has retracted from Mtandao and hes with Mwandosya, which i personally think it is a smar move. Why? Mtandao is doomed to fail and also no one can surivive in Rungwe (politically) without Mwandosya's endorsment.

In the upcoming cabinet shakeup, Mwandosya will remain in his current post for sure, although JK's advisers are still fighting for him to go! However, Mwakyusa will be punished - transfered to an inferior ministry if not loose his cabinet post. The latter is less likely but moving to an inferior ministry will happen. Keep your ears open for the upcoming cabinet shakeup. Also there is a chance that Tom Mwang'onda might be appointed to a deputy ministerial post. Tom and Nchimbi were set to become a ministers, for Tom, the question here is when, not why and how.
 
akp07dg6.jpg


Katuni kwa hisani ya mjengwa blog.
 
Mtanzania,


Kwanza nitaheshimu maelezo yako lakini sinta yaacha bila kupinga kuwa hakuna kata, wilaya ama Mkoa Tanzania wenye kabila moja 100% leo hii.
Pili, tunapozungumzia Ukabila ina maana nyingi sana mojawapo ni pale wakazi wa sehemu fulani wanapotaka kumchagua Kiongozi toka kabila lao tu!.. Hii ni Tanzania kila Mtanzania ana haki ya kugombea uongozi mahala popote pale bila kujali kabila yake na kama wilaya moja itakuwa na kijimila kisichojificha cha kuwa mgombea fulani lazima awe kabila fulani ama Nasaba fulani basi huo ni Ukabila by itself sio lazima kuwepo na makabila makubwa mawili yakipigania nafasi moja.
Nilichosema mwanzo ni kwamba mwandosya alipigiwa debe na JK mkakataa! nimetoa ushahidi sasa imekuwa swala la kupita kwa Mwandosya... nadhani nimesema toka nyuma kuwa ndani ya CCM Mwandosya kapendekezwa (support) mara kibao kuwa mgombea wa CCM toka juu kupinga hoja ya kuwa huyu Prof ana Beef na JK.
Nje ya chaguzi za CCM nimesema pia JK kawaomba wananchi wamchague... tofauti na ule uchaguzi wa mwakilishi ndani ya CCM. Katika chaguzi za Wilaya wapo Wanyakyusa na wananchi wakazi wa wilaya hizi wanaopinga Ukabila na wapo wanaoukumbatia..I'm talking about the crashes between these two...Get my point?

Mkandara,

Sawa mkuu, lakini kichekesho ni hicho cha je alimpigia kampeni kwenye uchaguzi upi? Maana mtu akipita bila kupingwa hakuna cha uchaguzi tena. Kwa Rungwe mashariki watu walichagua rais na madiwani tu, hakukuwa na uchaguzi wa bunge.

Matatizo ya wilaya ya Rungwe sio ukabila, kampeni zao zinalenga zaidi kwenye nani kasaidia zaidi kupeleka maendeleo kule wilayani. Hili nakuhakikishia mkuu, ukija Mbeya mjini kweli huko kuna ukabila, watu wanatumia siasa chafu kwenye kampeni. Kwa kusema hivyo sina maana kwamba Wanyakyusa hawana ukabila, ninachosema ni kwamba wataweka ukabila kumbagua nani Rungwe wakati karibu kila mgombea anatoka kabila hilo moja?

Prof. Mwakyusa ana matatizo Rungwe kwasababu wanaona mwenzake kasaidia miradi mingi sana hasa mashule tokea wakati yuko mlimani wakati yeye Mwakyusa hakuna kitu. Hiyo ndio sababu kubwa ya Mwakyusa kwenda kwa kusua sua kule Rungwe. Na kweli ukipita unaona hayo majimbo mawili yako tofauti, kwanini? Mimi sijui lakini sioni sababu kwanini moja liendelee wakati lingine lina sua sua.

Mwaka 2005 ndipo ikaja sababu nyingine ya Mtandao na wasio mtandao. Hii ndio imeivuruga sana Rungwe mpaka watu wakaanza kususia hata kwenda kwenye mazishi. Kama una habari alifariki Mwenyekiti wa CCM wa wilaya ya Rungwe mwaka huu, ujumbe wa CCM mkoa, ulizuiwa kwenda kwenye mazishi kisa eti ni mtandao.

Mwaka 1995, Bruno Mpangala alifanya kosa la kuogopa ukabila. Yeye ni mtu wa Kyela na kazaliwa huko. Kwa kabila ni Mkisi (mgoni wa Kyela), si unakumbuka zile stori za English kwenye primary schools kwamba Mkisi kavuka ziwa nyasa? Basi huyu bwana wakati anapanga mikakati, wakaja washauri wasiwasi wakamwambia asigombee Kyela kwasababu watakwambia Mkisi. Na yeye akakubali, akaamua kugombea Mbeya mjini. Huko alikutana na ukabila mkubwa na kumwambia hana hata nyumba, je atakaa guest? Akashindwa na NCCR, mimi naamini angegombea Kyela angeshinda, maana huko ni kwao, na wanamjua vizuri.

Binafsi nimekataa haya mambo ya ukabila toka mdogo, lakini pia siyaogopi wala siyatukuzi hata mahali ambapo hayapo. Wakati mwingine watu wanashindwa kihalali, baadaye wanaanza kusema ukabila.
 
Mtanzania,
Mwandosya alipita bila kupingwa kama mwakilishi wa chama CCM ktk uchaguzi wao sio uchaguzi wa Taifa.. kumbuika kuna kina Chadema, CUF TLP ama umesahau demokrasia mjomba! Ebu nifahamishe ama hawa nao walimpitisha Mwandosya bila kupinga kwa hiyo hapakuwa na haja kabisa ya JK kumnadi.
 
Heshima yako mkuu,
You do have very good points but on JK and MWandosya, please go do more research. It is laughable for one to say JK and Mwandosya are in excellent terms. You'd have made sense if the statement was - JK plays it very well, something which he has been applauded for by many. JK's advisers want Mwandosya out of the cabinet but JK seems to have a better plan - keep your enemies close.

Mwakyusa was appointed as a minister with full portfolio so as to counter balance the political power and influence that Mwandosya has in Mbeya. However, of late, Mwakyusa has retracted from Mtandao and hes with Mwandosya, which i personally think it is a smar move. Why? Mtandao is doomed to fail and also no one can surivive in Rungwe (politically) without Mwandosya's endorsment.

In the upcoming cabinet shakeup, Mwandosya will remain in his current post for sure, although JK's advisers are still fighting for him to go! However, Mwakyusa will be punished - transfered to an inferior ministry if not loose his cabinet post. The latter is less likely but moving to an inferior ministry will happen. Keep your ears open for the upcoming cabinet shakeup. Also there is a chance that Tom Mwang'onda might be appointed to a deputy ministerial post. Tom and Nchimbi were set to become a ministers, for Tom, the question here is when, not why and how.

You are trying to bring "street politics" back in this beloved JF. Sometimes it is good but be ready/prepared to change your anonymouse ID in the future.
 
raiamwema,
By the way, when you introduced yourself in this forum, ulisema JF haina dira. What did you real mean? Just to let you know, whatever you say in this forum you are responsible to answer.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom