Kina mama 'wamzuia ' Magufuli Muhimbili

singidadodoma

JF-Expert Member
Nov 11, 2013
4,394
1,531
12729133_1038613916203066_3949010194704386280_n.jpg

IMG-20160210-WA0044.jpg


335.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiombewa Dua na ndugu na jamaa mbalimbali ambao walifika Muhimbili kuwaona wagonjwa wao.
434.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akielekea katika Wodi ya Wazazi kufanya ukaguzi wa ghafla mara baada ya kuwasili akitokea Dodoma.
530.jpg

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wagonjwa waliolazwa katika Wodi ya Wazazi na amewahidi kutatua kero zao ndani ya muda mfupi ujao.
 
I love my country-- we acha tu!!!
EARLY NOVEMBER 2015

EARLY NOVEMBER 2015 A.jpg

EARLY NOVEMBER 2015 B.jpg


EARLY JANUARY 2016
Early January 1.jpg

Early January 2.jpg


EARLY FEBRUARY 2016

EARLY FEBRUARY.jpg


Popcorn.jpg
 
...mie jana kwenye clip ya itv nilijiuliza hizo khanga zitakuwa zimefungwa vizuri kweli...lol

hapana mkuu naona lazima watakuwa walipata warning ya fasta fasta kutoka kwa wauguzi... si unajua tena wabongo wakiona mkubwa wa kazi anatokea tu, wanavyoharakisha kuweka mambo sawa utadhani hizo dakika chache ndo zitarekebisha madudu yote yaliyofanywa hapo...
Hivi ile hali uliyoiona ya kina mama kuwa na kanga moja na wanaume wote wale wanaingia ni sawa? Wanawake wanatakiwa kujistiri maungo mengine mume ndio anaruhusiwa kuyaona. Hii sio bana.
 
tulio muomba Mungu Tunajuwa nini Mungu anafanya kwenye taifa hili, Magufuli ndie the best presdent ever we have ukiach nyerere, NAKWA HAKIKA AMEWEZA TENDA MUNGU AKULINDE
 
Safi sana Rais JPM. Endelea kukaza japo uisogeze mbele kidogo hii nchi iliyogota kwa rushwa na ufisadi.
 
Hii muvii tamu. Na Pepsi yangu na popcorn hapa nimetulia nafuatilia muvii. Dah potential Oscar nominees wako wengi sana bongo
 
Kuna mijitu mingine inataka aende kuzurula ulaya halafu yenyewe hayajawahi hata kwenda kuona wagonjwa hospitali.
 
Back
Top Bottom