Elections 2010 KINA MAMA CCM: Nakaaya kaleta nuksi tu hana chake hapa

jensen

Member
Oct 31, 2010
22
0
Kwa habari za tetesi zilizotoboka toka kwa umoja wa wakinamama ccm yasemekana kuwa hawakufurahishwa na ujio wa nakaaya na kwamba wanadai hamna nafasi ya binti huyo wa bongo fleva kuingia bungeni kwani wao wenyewe wana msururu wa watu wengi na kwamba hata kungekuwa na nafasi 50 asingepata, mmoja wa akina mama hao alinukuliwa "mh bora angebaki huko huko chadema hapa hana lake hata mzee(jakaya ) analifahamu hilo", nakaaya anaonekana kuleta mzozo mkubwa na anasababisha watu kutoelewana ndani ccm huku wengine wakidai , huyu ni malaya tu kaja tafuta midume.ila makamba amewahakikishia nafasi zao akina mama hao huku akidai nakaaya hana nafasi kwa muheshimiwa.:A S cry::A S cry::A S cry:
 
Kwa habari za tetesi zilizotoboka toka kwa umoja wa wakinamama ccm yasemekana kuwa hawakufurahishwa na ujio wa nakaaya na kwamba wanadai hamna nafasi ya binti huyo wa bongo fleva kuingia bungeni kwani wao wenyewe wana msururu wa watu wengi na kwamba hata kungekuwa na nafasi 50 asingepata, mmoja wa akina mama hao alinukuliwa "mh bora angebaki huko huko chadema hapa hana lake hata mzee(jakaya ) analifahamu hilo", nakaaya anaonekana kuleta mzozo mkubwa na anasababisha watu kutoelewana ndani ccm huku wengine wakidai , huyu ni malaya tu kaja tafuta midume.ila makamba amewahakikishia nafasi zao akina mama hao huku akidai nakaaya hana nafasi kwa muheshimiwa.:A S cry::A S cry::A S cry:

Wacha uwongo bana.. hii na jamii forum!! thread kama hii kaweke globalpublishers
 
Hii haikubaliki nasema kama noma na iwe noma

Matokeo Tunduru Kaskazini

Kikwete amepata kura 22,261

Slaa amepata kura 1,965

Lipumba amepata kura 12,935
 
Back
Top Bottom