Masaki
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 3,463
- 752
siku hizi hakuna hiyo mambo ya ohhh nimekufia.....unamualika ki-date...mara ya pili unamkaribisha getho/room.........ya tatu action....hakuna maneno mengi!
Yaani hapo approach yako itakuwa imekaa ki-gentleman sana! Ila nakwambai kabisa hata siku ya kwanza ukijitoa ufahamu unaweza kushangaa mzee umekula tunda!