Warembo hua wanakuaje?
Men are always victims of women; kila wanachofanya wanakuwa wameponzwa na wanawake. Too bad hawatupi credit wanapofanikiwa!
wazungu wanatudanganya.Kwani si huwa kuna msemo wanasema "Behind every successful man there is a wise woman" ... kwani na hiyo si ni credit?
Motive ingekuwa nini??
Mngebeba na mimba au mngeatamia?
Au mngechavushana kwa njia ya upepo kama mahindi?
Au mngechavushana kwa wadudu kama maua?
Wanchekesha: sosi FF
Men are always victims of women; kila wanachofanya wanakuwa wameponzwa na wanawake. Too bad hawatupi credit wanapofanikiwa!
Motive ingekuwa nini??
Mngebeba na mimba au mngeatamia?
Au mngechavushana kwa njia ya upepo kama mahindi?
Au mngechavushana kwa wadudu kama maua?
Wanchekesha: sosi FF
kungekuwa hakuna ku doMotive ingekuwa nini??
Mngebeba na mimba au mngeatamia?
Au mngechavushana kwa njia ya upepo kama mahindi?
Au mngechavushana kwa wadudu kama maua?
Wanchekesha: sosi FF
kungekuwa hakuna ku do
Eti Eiyer huwa hunipi credit mambo nanapokuwa fureshi?