Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,354
Nisome kwa mawani hapo M? Au nilichoona ndicho ulichoandika? LOL Siiku hizi kuna impruvmentie?hicho hicho ulichokisoma heheeeee lol!! muulize yule muinglish
Nisome kwa mawani hapo M? Au nilichoona ndicho ulichoandika? LOL Siiku hizi kuna impruvmentie?hicho hicho ulichokisoma heheeeee lol!! muulize yule muinglish
Huna wivu???!!!!!!!!!! I dont think so. Kinachotokea nadhani uliumizwa sana kiasi una wasiwasi mkubwa sana unaokufanya ushindwe kuji-commit kwa mtu yeyote kwa 100%. Otherwise mummy kama umependa wivu ni kwa kwenda mbele.
Thats wat I m talking about . Ukipenda wivu lazima ati.Ni kweli Charity kwa mambo haya ya X-pin ungekufa na BP ..ila una moyo sana
Mie siku moja ningemtwanga na mwiko wa ugali puani
FL! darling huyo ni kipenzi cha moyo wangu mwenye kuuponya hayo majeraha uyaonayo. Ameniinua pale nilipoanguka, na kunibembeleza pale nilipolia, anayajua machungu yangu, na kuyapunguza makali..... loh
Ni kweli Charity kwa mambo haya ya X-pin ungekufa na BP ..ila una moyo sana
Mie siku moja ningemtwanga na mwiko wa ugali puani
Ulikuwa hujui mamii?Kumbe !