Ambassador
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 933
- 75
Tazameni miguu ya Monique hiyo. Je swali ni kunyoa au kutonyoa.
Wanaume mwasemaje hapa?
Miguu utadhani ya Beckham!
Tazameni miguu ya Monique hiyo. Je swali ni kunyoa au kutonyoa.
Wanaume mwasemaje hapa?
..Mazee, mimi ni mmojawapo wanaopenda hayo manyoya, tena napenda awe na tunywele kiasi kifuani kwenye kale kamfereji kanakotenganisha water melon zile..acha bana sie ndio tunajua utamu wa hiyo kitu. Yaani huyo Monique yuko vizuri sana hilo guu mazee...Ehh!!Kuna baadhi ya wanaume wanapenda hali kama hiyo na hawataki kabisa yaondolewe...kipenda roho...
Mbona mimi nimejtahidi sana kutovaa makofia ya kuziba mashavu na midevu inazidi kukua?....Haina hata haja ya kunyoa, dawa yake ni kuvaa vimini/short pants nywele zote zitapotea.
Ukiwa mzoefu wa kuvaa nguo ndefu lazima uwe na nywele kama hizi, tena sio kwa wanawake tu hata wanaume hutokea nywele kama hizi.
Hii hutokea hata kwenye mikono kama unapenda kuvaa nguo za long sleeve.
thats a turn off to me.Mkuu Arsene Wenger,
Sio eti kajisahau, kasema mwenyewe she doesnt believe in
shaving her legs.
Nenda hapa:
http://www.huffingtonpost.com/2010/01/20/monique-goes-all-natural_n_429842.html
....Haina hata haja ya kunyoa, dawa yake ni kuvaa vimini/short pants nywele zote zitapotea.
Ukiwa mzoefu wa kuvaa nguo ndefu lazima uwe na nywele kama hizi, tena sio kwa wanawake tu hata wanaume hutokea nywele kama hizi.
Hii hutokea hata kwenye mikono kama unapenda kuvaa nguo za long sleeve.
..Mimi mmoja wapo mkuu. Tena kama huyo Monique amenimaliza ana mguu umekamilika sio mchezo ukiongeza na hivyo vinwele yaani hapo ukipandisha juu ya mapaja kidogo tu unaweza kufanya mambo...nyie acheni tu!!Kuna baadhi ya wanaume wanapenda hali kama hiyo na hawataki kabisa yaondolewe...kipenda roho...
Nani mwenye namba yake au email yake anipe jamani, maana mie ndo ugonjwa wangu:naona raha.
....Haina hata haja ya kunyoa, dawa yake ni kuvaa vimini/short pants nywele zote zitapotea.
Ukiwa mzoefu wa kuvaa nguo ndefu lazima uwe na nywele kama hizi, tena sio kwa wanawake tu hata wanaume hutokea nywele kama hizi.
Hii hutokea hata kwenye mikono kama unapenda kuvaa nguo za long sleeve.
Kama miguuni hivi, huko "kwenye maungio" si itakuwa rasta?...
Asifie Mvuwa !!!!!!!!!!!!!!!.Kuna baadhi ya wanaume wanapenda hali kama hiyo na hawataki kabisa yaondolewe...kipenda roho...