gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
Hiyo kitu ni sukari wewe hupendi mikwaju? Au unapenda mkumene?
hahahahah! na hapo hapo alijisema mwinyi "gonjwa hili limekaa mahala pazuri kila mtu anapataka"
Hiyo kitu ni sukari wewe hupendi mikwaju? Au unapenda mkumene?
Siyo hivyo tu,yeye anamlaumu aliyesema anataka wakati ana Boyfriend na wakati yeye alitaka huku ana mke,kama si double standards,basi hii stori ni ya paka na panya,haina ukweli wowote.Na kama ina ukweli,basi mwenye problem ni mleta mada.Ni bora angesema yuko kwenye utafiti.Sasa kwa nini aseme sitaki wakati anataka?
Huyo atakuwa na mfadhaiko hana boyfriend wala nini maana angekuwa nae angejiheshimu na kumheshimu bfriend wakeWewe si ndiyo umemtokea mwenzako? Umemtokea kakubali, halafu tena wewe mwenyewe unaanza kulaumu kuwa ni maji mara moja, ulitakaje sasa? Au ulikuwa unatishia nyau mwenzio kafungulia mbwa? Haya mzigo huo sasa sijui utaupeleka wapi! Kazi kwako na uwe makini na UKIMWI.
Na nyie akina dada, jaribuni kujiheshimu, wengine wanatishia tu kama huyu. Si kila unachoambiwa unakubali. Unamkubalije mtu wakati na wewe una bf wako? Kuweni makini!
Kama nami nataka kumchezea je!
hahahahah! na hapo hapo alijisema mwinyi "gonjwa hili limekaa mahala pazuri kila mtu anapataka"
Acha ushamba, MAMBO YA KIMJINI MJINI, KAMA UNATAKA WASEMA WAPEWA DOZIIII! KAMA HUTAKI BASI WASEMA ILA UTOTO WA KUSUMBUANA NOOOOO! KWANZA GAME ZA KIRAFIKI HAZINAGA COMMITMENT NI KUPUNGUZANA STRESS TU. TUMEPEWA BUREEE NA TUNAGAINA BUREEEEEEEEE! (Tahadhari Ukimwi waua!!!)
Yani kweli sikuhizi wanawake nikama pipi tu unaenda dukani unanua unaondoka... Huwezi amini kuna dada nimekutana nae tu asubuhi nikachukua namba ya simu yake ..huwezi amini hadi muda huu ameshakubali kutoa k..bila ubishi dah.hata kusema sitaniki na ana degree yake kazi nzuri..yupo ofisi ya jirani na yangu ..
Mhh.... Na nimemwambia nina mkee asije akaganda na yeye kasema ana bf wake...
Ila jamani ni kweli siku hizi WOMEN ARE VERY CHEAP COMMODITY.......
hhahahahah ni kweli na wanaume wakifika sehemu hiyo wanatumia kiuno kufikiri, kichwa cha juu kinakuwa kama boya tu..
Ila mumezidi yaani siku hizi waweza kubeba mtu mama mtu na mdogo mtu at the same time na bado wakawa wanajuana na hawaachi........They are cheap because you are the cheapest commodities jamani, huelewi nini apo?
Acha ushamba, MAMBO YA KIMJINI MJINI, KAMA UNATAKA WASEMA WAPEWA DOZIIII! KAMA HUTAKI BASI WASEMA ILA UTOTO WA KUSUMBUANA NOOOOO! KWANZA GAME ZA KIRAFIKI HAZINAGA COMMITMENT NI KUPUNGUZANA STRESS TU. TUMEPEWA BUREEE NA TUNAGAINA BUREEEEEEEEE! (Tahadhari Ukimwi waua!!!)