Kina dada mmezidi kuwa maji mara moja dah

KIBE

JF-Expert Member
Nov 23, 2010
943
184
Yani kweli sikuhizi wanawake nikama pipi tu unaenda dukani unanua unaondoka... Huwezi amini kuna dada nimekutana nae tu asubuhi nikachukua namba ya simu yake ..huwezi amini hadi muda huu ameshakubali kutoa k..bila ubishi dah.hata kusema sitaniki na ana degree yake kazi nzuri..yupo ofisi ya jirani na yangu ..
Mhh.... Na nimemwambia nina mkee asije akaganda na yeye kasema ana bf wake...
 
Yani kweli sikuhizi wanawake nikama pipi tu unaenda dukani unanua unaondoka... Huwezi amini kuna dada nimekutana nae tu asubuhi nikachukua namba ya simu yake ..huwezi amini hadi muda huu ameshakubali kutoa k..bila ubishi dah.hata kusema sitaniki na ana degree yake kazi nzuri..yupo ofisi ya jirani na yangu ..
Mhh.... Na nimemwambia nina mkee asije akaganda na yeye kasema ana bf wake...

Wewe si ndiyo umemtokea mwenzako? Umemtokea kakubali, halafu tena wewe mwenyewe unaanza kulaumu kuwa ni maji mara moja, ulitakaje sasa? Au ulikuwa unatishia nyau mwenzio kafungulia mbwa? Haya mzigo huo sasa sijui utaupeleka wapi! Kazi kwako na uwe makini na UKIMWI.

Na nyie akina dada, jaribuni kujiheshimu, wengine wanatishia tu kama huyu. Si kila unachoambiwa unakubali. Unamkubalije mtu wakati na wewe una bf wako? Kuweni makini!
 
wacha zako nawe...dada wa watu kawa mkweli sasa wasema amekuwa easy. she is just open minded to know kuwa u just wana have fun with her so nae yupo kimchezo zaidi au kisa demu basi ndio unaona easy....y wewe sio easy kutongoza wakati una mke.

wacha wanawake wawe huru kufanya kama wanaume tunvyofanya bwana. nao wanapenda kugegedwa ati!!!
 
Acha huyo kuna mwingine nilikutana nae maeneo ya udsm ijumaa nikachukua namba nilichokosea nikambip apate yangu,, sasa anavyonitafuta text na calls kibao wakati sijapanga kumtafuta kabisa, niliwaza mwenyewe wakat naingia kwenye gari nikaamua simtafuti tena, but anavyonisaka yeye sasa ni balaa...
 
Wanaume wa siku hizi bana asione kichaka mavi yameshambana!!!!!!! Angalia tu usiukawa umekutana na jambazi tu,ukadhani unaiba kumbe we ndo unaibiwa
 
umeomba umepewa lawama za nini? ndiyo ujiulize mko wangapi?
Kwa haraka haraka kakutamani na yeye, kwani si binadamu kama wengine?
 
Yani kweli sikuhizi wanawake nikama pipi tu unaenda dukani unanua unaondoka... Huwezi amini kuna dada nimekutana nae tu asubuhi nikachukua namba ya simu yake ..huwezi amini hadi muda huu ameshakubali kutoa k..bila ubishi dah.hata kusema sitaniki na ana degree yake kazi nzuri..yupo ofisi ya jirani na yangu ..
Mhh.... Na nimemwambia nina mkee asije akaganda na yeye kasema ana bf wake...

Duh na nyie mmezidi kuingia kwenye mitego yetu, yaani kujilengesha kidogo tu nawe umeshaingia lainii huku jitu lina mke na watoto. Na mtakoma mpaka tuwamalize mwaka huu!
 
Wewe si ndiyo umemtokea mwenzako? Umemtokea kakubali, halafu tena wewe mwenyewe unaanza kulaumu kuwa ni maji mara moja, ulitakaje sasa? Au ulikuwa unatishia nyau mwenzio kafungulia mbwa? Haya mzigo huo sasa sijui utaupeleka wapi! Kazi kwako na uwe makini na UKIMWI.

Na nyie akina dada, jaribuni kujiheshimu, wengine wanatishia tu kama huyu. Si kila unachoambiwa unakubali. Unamkubalije mtu wakati na wewe una bf wako? Kuweni makini!

Kama nami nataka kumchezea je!
 
Yani kweli sikuhizi wanawake
nikama pipi tu unaenda dukani unanua unaondoka... Huwezi amini kuna dada
nimekutana nae tu asubuhi nikachukua namba ya simu yake ..huwezi
amini hadi muda huu ameshakubali kutoa k..bila ubishi dah.hata kusema
sitaniki na ana degree yake kazi nzuri..yupo ofisi ya jirani na yangu
..
Mhh.... Na nimemwambia nina mkee asije akaganda na yeye kasema ana bf
wake...
mbona unageneralise?
umeomba k umekubaliwa,matusi kwa kinadada wengine ya nn?ungekuwa unajiheshimu na kumheshimu mkeo usingehangaika kutafuta k za barabarani.hivi hata huyo mkeo anaweza kujisifu kuwa ana mume?
 
Kilicho kufanya uchukue namba yake ya nini kama ulikuwa humwitaji? ya wezekana ulikuwa una mmendea kwa muda mrefu kufanikiwa kupata namba yake ndiyo unaanza kashfa je? Angekunyima namba au k.... ungewa ambia wana jf
 
Yani kweli sikuhizi wanawake nikama pipi tu unaenda dukani unanua unaondoka... Huwezi amini kuna dada nimekutana nae tu asubuhi nikachukua namba ya simu yake ..huwezi amini hadi muda huu ameshakubali kutoa k..bila ubishi dah.hata kusema sitaniki na ana degree yake kazi nzuri..yupo ofisi ya jirani na yangu ..
Mhh.... Na nimemwambia nina mkee asije akaganda na yeye kasema ana bf wake...

Hilo ni jambo la kawaida tu working place na sehemu zingine.
Walio kwenye mahusiano ya kimapenzi na walio kwenye ndoa wasipokuwa makini, UMEME utawamaliza.
 
Acha huyo kuna mwingine nilikutana nae maeneo ya udsm ijumaa nikachukua namba nilichokosea nikambip apate yangu,, sasa anavyonitafuta text na calls kibao wakati sijapanga kumtafuta kabisa, niliwaza mwenyewe wakat naingia kwenye gari nikaamua simtafuti tena, but anavyonisaka yeye sasa ni balaa...
kwani anakutafuta akupe k? maybe kuna kitu anakuuliza...wanaume bwana?
 
Yani kweli sikuhizi wanawake nikama pipi tu unaenda dukani unanua unaondoka... Huwezi amini kuna dada nimekutana nae tu asubuhi nikachukua namba ya simu yake ..huwezi amini hadi muda huu ameshakubali kutoa k..bila ubishi dah.hata kusema sitaniki na ana degree yake kazi nzuri..yupo ofisi ya jirani na yangu ..
Mhh.... Na nimemwambia nina mkee asije akaganda na yeye kasema ana bf wake...

Sasa kwa nini aseme sitaki wakati anataka?
 
Yani kweli sikuhizi wanawake nikama pipi tu unaenda dukani unanua unaondoka... Huwezi amini kuna dada nimekutana nae tu asubuhi nikachukua namba ya simu yake ..huwezi amini hadi muda huu ameshakubali kutoa k..bila ubishi dah.hata kusema sitaniki na ana degree yake kazi nzuri..yupo ofisi ya jirani na yangu ..
Mhh.... Na nimemwambia nina mkee asije akaganda na yeye kasema ana bf wake...

umempata wa kufanana nae, sasa una lalamika nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom