Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,398
- 319
Kuna dada mmoja ambaye alipata Mimba kabla ya kuolewa, na baada ya kujifungua akaamua kuchimba shimo na kumfukia mwanae hadi shingoni, lakini Mungu si juma wala george, wapita njia wakakikuta kitoto kimefukiwa hadi shingoni, wakaamua kukitoa, na kufanya msako wa nani alikuwa mjamzito katika eneo lao,
wakakumbuka kuwa ni yule dada X lakini mbona mimba hana tena? wakaazimia kumbana
mpaka alipokubali kuwa ni yeye na ameamua kufanya hivyo kwa vile mzazi mwenziye hamtunzi, akakabidhiwa kile kichanga akilee chini ya usalama,
mara baada ya miwili alipata bahati ya kuolewa lakini akawa hashiki mimba tena baada ya kuonana na ma Dr. akaambiwa hana uzazi tena, ikabidi aongeze mapenzi kwa yule mwanae
ambaye aliwahi kumfukia, lakini la Mungu halipingikia yule mtoto naye akafa kwa kansa ya damu
Sasa huyo dada amebaki na majuto,
*****kuweni makini kina dada na maamuzi ya ufahamu na akili zenu******
wakakumbuka kuwa ni yule dada X lakini mbona mimba hana tena? wakaazimia kumbana
mpaka alipokubali kuwa ni yeye na ameamua kufanya hivyo kwa vile mzazi mwenziye hamtunzi, akakabidhiwa kile kichanga akilee chini ya usalama,
mara baada ya miwili alipata bahati ya kuolewa lakini akawa hashiki mimba tena baada ya kuonana na ma Dr. akaambiwa hana uzazi tena, ikabidi aongeze mapenzi kwa yule mwanae
ambaye aliwahi kumfukia, lakini la Mungu halipingikia yule mtoto naye akafa kwa kansa ya damu
Sasa huyo dada amebaki na majuto,
*****kuweni makini kina dada na maamuzi ya ufahamu na akili zenu******