Jamani muda si mrefu nilipata kujuana na dada mmoja, lakini kadri siku sinavyo enda nahisi mabo yanabadilika na kunifanay nisijue la kufanya nisije fanay makosa. Huyu dada kwanza ameanza kunipia heshima tofauti na mwanzo, pia nikiwa na tatizo anataka alitatue hata kwa gharama yoyote. Vitu vyake anapenda nimfanyie, na ansema hakuna mwingine anaye weza kuvifanya.
Kitu chochote muhimu anachoo fanya lazima anipe taarifa na kuomba ushauri. Mara nyingine nahisi kama sinfanyie haki kama sita mtendea kama yeye anavyo nifanyia. Pengine ni mwanzo wa safari ile njema japo inaweza kuniumiza kama ikitokea kuwa mawazo yangu ya kijinga ya kufikiri amenipenda yaka si kweli.
Swali ivi wadada mkiwa mmezimikiwa na mtu ni viashiria gani huwa mnaonyesha kama indicator ya kuomba njia. Pengine na mimi nitasaidika hapa.
Asanteni
Kitu chochote muhimu anachoo fanya lazima anipe taarifa na kuomba ushauri. Mara nyingine nahisi kama sinfanyie haki kama sita mtendea kama yeye anavyo nifanyia. Pengine ni mwanzo wa safari ile njema japo inaweza kuniumiza kama ikitokea kuwa mawazo yangu ya kijinga ya kufikiri amenipenda yaka si kweli.
Swali ivi wadada mkiwa mmezimikiwa na mtu ni viashiria gani huwa mnaonyesha kama indicator ya kuomba njia. Pengine na mimi nitasaidika hapa.
Asanteni