Kina Baba /mama kaka / dada eti hii ni kweli?

Baba_Enock nimeipenda, itabidi nimshauri huby asafiri kidogo angalau 2 weeks.... miezi miwili ah ah!

kwa nini yeye ndiyo asafiri??,wewe je?
au wewe majukumu ni mengi zaidi kuliko yake?.......lol
 
kwa nini yeye ndiyo asafiri??,wewe je?
au wewe majukumu ni mengi zaidi kuliko yake?.......lol



Mwenzangu nikisafiri mimi si ina maana nisafiri na watoto ni wadogo (na mapumziko ya kuhusisha watoto si mapumziko) , mimi ndo house girl mwenyewe na huby yuko busy kazini hawezi shinda home kuwalia. Na kwa mujibu wa maelezo ya baba Enock wanaume kwa uwingi ndo hua wanakua suffocated katika routine hio ya kila siku - personally if my huby and family are happy them am happy too.... Kama unavyojua, a dedicated house wife...LOL
 
Sinking....nitafufuka na nguvu zaidi...kwa amani kamili....amani ya ukweli...
Hizo beer na kwa mama sande vina mipaka na kingo?
After this mbege debe moja...then titaanza kunywa bia za mama sande...

halaf nilisahau kwukwambia LD amekuwa bar-maid
 
Kila siku huwa nafundisha vijana kuwa "Once and a while" mkiwa kwenye ndoa ni vizuri kutengeneza "distance" - say - mwanaume unatakiwa at least in two months chukua safari ya kukaa nje ya familia yako for at least three days - or - hata mwanamke pia (if possible!).. Unapokuwa mbali na familia yako (kwa wanaume) una-tend kuwa na fikra chanya na za kimaendeleo kuhusu familia yako - equally unakuwa unatengeneza mazingira ya ku-evaluate mahusiano yako na mwenza wako..

Honestly - day in & day out - sebule ile ile, kitanda kile kile, bajaji ile ile, sahani zile zile, vikombe vile vile, na mwenzi pembeni - inachosa sana akili but uwa tunakuwa wanafiki tu! kwa wale wanaume wanaopata kinywaji angalau "space" inakuwepo, lakini wale wa kutoka nyumbani kazini na kutoka kazini nyumbani mnawapa kero wake zenu - nyie hamjui tu!

Ni kweli, mwanamke mnavyozidi kuishi wote, the so called "mapenzi" yanazoeleka na siyo kupungua - kwa maana matendo yote yanayotengeneza au yanayotimilisha "mapenzi" yanakuwa ni "routine" - "Appreciation" kutoka kwa mme inakuwa hamna maana hakuna "jipya" and as the result mwanamke anaanza kuona ni "business as usual"... Kufuliwa nguo, kuandaliwa chakula, kukukaribishwa nyumbani, mabusu tele tele, kupigiwa simu mara kwa mara, e.t.c vinakuwa ni vitu visivyokuwa na msisimuko anymore! And therefore kwa kipimo cha kawaida cha mapenzi kunakuwa na "diminishing return"! Mapenzi yamekwisha siku hizi by Banana Zoro...


Asante sana Baba Enock umesema vema sana mawazo yako nitayafanyia kazi zaidi,
 
Hellow wapendwa how are u....Asprin, Teamo, Firstlady1, Nnunu, RR and Digidig The Finest
:llama::llama:
 
Absence makes a heart grow fonder!,siyo mimi ila wahenga walisema and i truly believe its true!
 
mi naamini kama unampenda mwenzako ile kiukweli kabsaaaa, hata akiwa mbali kiasi gani upendo unatakiwa uwe pale pale. sasa unakuta mtu mume wake au mkewe kasafiri kikazi au kaenda kikazi, basi ile kuondoka tu huku nyuma mwenzake anakuwa kiguu na njia mara huku na mara kule kama kuku wa kienyeji. ndo maana baadhi ya wanawake na wanaume wasio waaminifu mwenzake akiwa mbali kwa mda flani yeye huku anatafuta MAKOLONI (mademu) mengine na mwisho wa siku anakuta amemsaliti mwenzake. ndio mapenzi huwa mazito mwanzoni na mkiendelea mbele unaweza kuona humpendi mwenzako kama mwanzoni, sasa kama hali hii ikitokea unatafuta njia zako tu za ku-solve hili tatizo. naomba kuwasilishha
 
naweza kusema hii ina ukweli fulani kwani mwenzangu akisafiri basi mapenzi motomoto nusu saa haipiti utajuliwa hali..utatumiwa msg za kuulizwa umekula? au unakula nin? utaanbiwa nakupenda kila dk msg itaingia..
Ukweli naona huwa wanafanya hivi ili kuepusha wake zao na vishawishi ili kuwajenga kisaikolojia wajione kuwa wanapendwa sana na wasithubutu kutoka nje ya ndoa au kutamani wengine..
mpaka mtu unatamani kwelu mwenza wako asafiri kila siku iki upate faraja moyoni na kuonyeshwa thamani yako..nadhani wangefanya hivi pindi wanapokua karibu na wenza wao basi ingependeza zaid.
 
cjaolewa bt nikichukulia ktk relation ya kawaida tu naona kuna ukwel hapo
 
Back
Top Bottom