Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Waziri kivuli wa afya mbona kimya juu ya ufisadi Medical stores?
waziri kivuli wa utamaduni mbona yuko kimya juu ya ufisadi unaoendelea kwenye wizara ya emanuel nchimbi? (serikali kugharamia mazishi ya kanumba, sheria na miswada kuandikwa kwa kiingereza, ripoti muhimu zote kuandikwa kwa kiingereza)
Kwa nini mawaziri vivuli wa Tanzania waliopo sasa wako kimya juu ya mambo mengi?
how hard is it kuita press conference na kuweka public malalamiko ya wananchi?
kama hawa ndio mbadala naona tushakwama kwa sababu wana behave exact way kama wa waliopo madarakani.
waziri kivuli wa utamaduni mbona yuko kimya juu ya ufisadi unaoendelea kwenye wizara ya emanuel nchimbi? (serikali kugharamia mazishi ya kanumba, sheria na miswada kuandikwa kwa kiingereza, ripoti muhimu zote kuandikwa kwa kiingereza)
Kwa nini mawaziri vivuli wa Tanzania waliopo sasa wako kimya juu ya mambo mengi?
how hard is it kuita press conference na kuweka public malalamiko ya wananchi?
kama hawa ndio mbadala naona tushakwama kwa sababu wana behave exact way kama wa waliopo madarakani.