..Usiombe akutie kabali huyo au akuchape kibao...utadhani umekutana na kipande cha ubao wa mninga!!!:A S 103:hahahaa!! duh!! e-banaee! yani hana nyama hata kidogo, ni mifupa na ngozi tu!
mbona uso una nyamaaaaaaaa????????????yani uso umetononoka..........:mmph::mmph: