TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Mbona wanazipa uzito habari za Chadema peke yake???Au ndo mvutia kamba???Kama ni hivi na tusimlaume mtu si ndio?
Kweli nmeamini unakaa tandalee tena kwa mtogole au uwanja wa fisi, manake maswali yako ni ya kitandaletandale keep it up
Junior Member,good.Unakuja kujibu maswali ya msingi.Maswali yangu yanaelekea kwenye maswali ya nyongeza.Jibu hilo then tuendelee.
Ni ugeni au upuuzi unakusumbua
Mbona wanazipa uzito habari za Chadema peke yake???Au ndo mvutia kamba???Kama ni hivi na tusimlaume mtu si ndio?
Upuuzi gani huu? Hawa jamaa wanawatumia hata ma-tabula rasa! Kweli wameshikwa pabaya!
Kweli nmeamini unakaa tandalee tena kwa mtogole au uwanja wa fisi, manake maswali yako ni ya kitandaletandale keep it up
Changiani hoja ki tanzania "kupingana bila kupigana" kwani mkikashifiana hamtafika kokote na badala yake mtaacha hoja ya msingi mtaanza kuangaliana makovu ya uso. Forum hii inaendeshwa na wapenda nchi sio wala nchi hivyo ingekuwa vyema kama itatumika kwa maslahi ya taifa zaidi ya kuwa kijiwe cha micharuko.
Ni uhuru wa kutoa maoni ulionipelekea kuchangia hivyo, tuendelee na mwaka wa siasa!
Upuuzi gani huu? Hawa jamaa wanawatumia hata ma-tabula rasa! Kweli wameshikwa pabaya!
Badala ya CCM kutafuta watu wenye uelewa wanatuletea ma-tabula rasa watu kama Malaria Sugu na TandaleOne, imekuwa badala ya wao kuleta hamony kwa wanajamii wakipende chama sasa ndio wamekuwa wavurugaji na kufanya kichukiwe zaidi.Upuuzi gani huu? Hawa jamaa wanawatumia hata ma-tabula rasa! Kweli wameshikwa pabaya!
Mpelekeni akaongezee damu,na ataanguka sana mwaka huuMbona wanazipa uzito habari za Chadema peke yake???Au ndo mvutia kamba???Kama ni hivi na tusimlaume mtu si ndio?
Kweli nmeamini unakaa tandalee tena kwa mtogole au uwanja wa fisi, manake maswali yako ni ya kitandaletandale keep it up
Mbona wanazipa uzito habari za Chadema peke yake???Au ndo mvutia kamba???Kama ni hivi na tusimlaume mtu si ndio?