Kimenuka wapi? FFU wamepita hapa Tazara na gari tatu na la maji ya kuwasha

wanaenda kumuokoa mwenzao kapewa kichapo muhimbili na kapoteza radio call ndo wameenda kutuliza gasia hakuna serikal nchi hii
 
wanaenda kumuokoa mwenzao kapewa kichapo muhimbili na kapoteza radio call ndo wameenda kutuliza gasia hakuna serikal nchi hii

Mwenzao keshaokolewa, kikubwa hapo ni kuhakikisha usalama wa eneo husika kwa jazba na uzuni ilowajaa wauguzi,baadhi ya wananchi na Madaktari kwa kupigwa na kujeruhiwa vibaya kwa kiongozi wa Madaktari Dr.Ulimboka; lkn la muhimu pia ni Radio Call ambayo imepotea na hiyo ni lazma ipatikane kiusalama wa Taifa zima"
 
wanaanza muhimbili then mtaa kwa mtaa, mwisho wapangaji kwa wapangaji
 
Back
Top Bottom