Apollo
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 4,920
- 3,220
Mara ya kwanza tulipogoma, waliongeza pesa ikawa 7500, mara ya pili tumegoma wakaongeza mkopo kwa watu 104 wa mwaka wa kwanza. Juzi tumegoma, then wametuwekea boom, hivi hii serikali inataka nini? Inafikiri sisi tunaona raha kugoma tu? Mbona inatupelekesha? Huu ni upuuzi.