zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Heche ni mtu ambaye hana upeo wowote zaidi ya kuongea kwa jazba tu anasema Rais anaomba sana mbona yeye Heche mwenyewe bado anakaa kwa kaka yake Sinza.
Sijakuelewa hapa
Heche ni mtu ambaye hana upeo wowote zaidi ya kuongea kwa jazba tu anasema Rais anaomba sana mbona yeye Heche mwenyewe bado anakaa kwa kaka yake Sinza.
Kwa maslahi yapi uliyoyaona kwa awamu hii ya kikwete...unajua deni la taifa kwa sasa ni kiasi gani? unakumbuka wakati anaachiwa nchi hazina kulikuwa na kiasi gani? je deni likuwa kiasi gani?...vipi bei ya vyakula nikupe mfano kikwete anachukua nchi bei ya mchele ilikuwa TZS 650 sasa hivi mpaka TZS 3000, kiberiti 25 sasa hivi 100...ngoja nikomee hapo
Sijakuelewa hapa
Heche ni mtu ambaye hana upeo wowote zaidi ya kuongea kwa jazba tu anasema Rais anaomba sana mbona yeye Heche mwenyewe bado anakaa kwa kaka yake Sinza.
Ha ha haaa, Ritz wacha kujidhalilisha wewe umekua siku hizi.
Mara hii umeshasahau kwamba ni wewe ulikuwa unapiga kelele hapa kwamba Heche amepangishiwa nyumba na Chadema? leo tena umehamia sinza kwa kaka yake? Kwa taarifa yako sisi wakurya kwa kaka yako ama mdogo wako ni sawa na nyumbani kwako. Chukua hiyo kama ulikuwa hujui.
Ha ha haaa, Ritz wacha kujidhalilisha wewe umekua siku hizi.
Mara hii umeshasahau kwamba ni wewe ulikuwa unapiga kelele hapa kwamba Heche amepangishiwa nyumba na Chadema? leo tena umehamia sinza kwa kaka yake? Kwa taarifa yako sisi wakurya kwa kaka yako ama mdogo wako ni sawa na nyumbani kwako. Chukua hiyo kama ulikuwa hujui.
mwulize Ritz, hayo masuala binafsi ya Heche yanahusianaje na Uongozi wake Chadema?
Heche ni mtu ambaye hana upeo wowote zaidi ya kuongea kwa jazba tu anasema Rais anaomba sana mbona yeye Heche mwenyewe bado anakaa kwa kaka yake Sinza.
Sikumbuki mara ya mwisho kukaa kijiweni na chapakazi mkuu lakini nashangaa Serikali imeanza kutafuna na pensheni yangu licha ya pesa nyingi tu kuilipa kila mwezi..chadema ni tumaini langu kwa sasa lakini kama wataingia madarakani na kubadilika kama walivyo mabwepande nitaangalia chama kingine kwa wakati huo lakini kwasasa ni chadema...Sio kila shida zako ni CCM ndio imesababisha, shida zingine ni matokeo ya yale uliyoyatengeneza kwa mikono yako.
Wewe kwa akili yako unadhani Chadema wakichukuwa nchi watakuwa wanagawa pesa huko ni kujidanganya ninachokushauri fanya kazi kwa bidii maisha hayana mkato serikali yako ni kichwa chako.
Acha kukaa vijiwe vya Unga Limited, Sakina, standi ya vifodi.
Kwani lipi la Uongo hapo?
Nchi ambayo kila siku inaomba misaada tu wanataka iitweje?
Nchi ambayo ndege inatua na kubeba Twiga na Tembo wanataka iitweje?
Nchi ambayo Ndege inatua na kubeba madini bila kuhakikiwa Wanataka iitweje?
Rais anayeenda kuomba omba Misaada kila kukicha mnataka aitweje?
Afadhali JK anaomba kwa maslahi ya Taifa , zile pesa wanazochangisha CDM wakiwa wavekwiva kwenye suti kwenye mahoteli makubwa hapa nchini kusafisha fedha haramu wanazoletewa na wazungu hao hao zinafanya nini?