UkabiLA? Utasabisha EL na ws wakose kura yangu!2015, piga ua galagaza, rais lazima atoke Kaskazini!
Lowassa atahamia NCCR, Sugu atarudi CCM, Slaa atagombana na Mbowe, Halima Mdee atahamia CCM, Lema atakuwa Mwenyekiti wa Chadema.
:majani7:That's whyLowassa atahamia NCCR, Sugu atarudi CCM, Slaa atagombana na Mbowe, Halima Mdee atahamia CCM, Lema atakuwa Mwenyekiti wa Chadema.
2015, piga ua galagaza, rais lazima atoke Kaskazini!
Lowassa atahamia NCCR, Sugu atarudi CCM, Slaa atagombana na Mbowe, Halima Mdee atahamia CCM, Lema atakuwa Mwenyekiti wa Chadema.
Mwita! sijakuelewa kabisa baba! Mdee nini?Lowassa atahamia NCCR, Sugu atarudi CCM, Slaa atagombana na Mbowe, Halima Mdee atahamia CCM, Lema atakuwa Mwenyekiti wa Chadema.
Natabiri
- Lowassa atang'oka. Kung'oka kwake kutaleta mpasuko mkubwa CHADEMA wengine wakitaka aalikwe CHADEMA na wengine wakiapa "over my dead body".
- Sitta atapewa karipio kali, na kwa kuwa ni ndumilakuwili ataufyata.
- Chenge is not as powerfull as those two, yeye ataondolewa kirahisi na haraka sana.
- Itapangwa mikakati mikali ya kuhakikisha SUGU anang'oka Mbeya kwa hali na mali, haswa baada ya kuitwa Rais wa Mbeya.
Natabiri
- Lowassa atang'oka. Kung'oka kwake kutaleta mpasuko mkubwa CHADEMA wengine wakitaka aalikwe CHADEMA na wengine wakiapa "over my dead body".
- Sitta atapewa karipio kali, na kwa kuwa ni ndumilakuwili ataufyata.
- Chenge is not as powerfull as those two, yeye ataondolewa kirahisi na haraka sana.
- Itapangwa mikakati mikali ya kuhakikisha SUGU anang'oka Mbeya kwa hali na mali, haswa baada ya kuitwa Rais wa Mbeya.
Lowassa atahamia NCCR, Sugu atarudi CCM, Slaa atagombana na Mbowe, Halima Mdee atahamia CCM, Lema atakuwa Mwenyekiti wa Chadema.
....huu ndio ukweli, maana mi pia sioni wa kujitofautisha na Lowassa ndani ya ccm, ajitenge naye, ajiamini, amseme, ondoka, ondoka Lowassa, Lowassa atauliza kwa nini, watakosa jibu la maana,wote wanategemea fitina.,Katika wote wanaotajwa kuvuliwa gamba, sijamuona mtu ndani ya ccm mwenye uwezo wa kusimamia hoja ya kuvuliwa gamba gumu Lowasa, bado simuoni na sitarajii hilo kutokea chini ya uenyekiti wa Kikwete.