Rev. Kishoka
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 4,526
- 1,529
Ikiwa mna mamlaka na nyenzo, je mnahitaji nini?
Kikitokea Kipindupindu, mtamlaumu nani?
Huu uchafu wa Dar, mnamsubiri nani awafanyie kazi na awasafishie jiji lenu?
Ikiwa mna mamlaka na nyenzo, je mnahitaji nini?
Kikitokea Kipindupindu, mtamlaumu nani?
Upuuzi mtupu, kama nchi haina mtu wa kumwajibisha mwingine, wanaangalia tu!
Julius,Babu, sijawahi kukuona umekasirika hivi....yaelekea unakereka sana na hilo suala
Julius,
Hawa jamaa kama ukisikia kauli zao naamini hata wewe utakereka sana... Simply unaambiwa "Kwani wewe nani?"
Upuuzi mtupu, washaigeuza nchi yao na wanapoenda kuomba kura kwa wananchi wanaenda kwa lugha za ulaghai mkubwa, nasikitika sana lakini ndiyo Tanzania yetu mkuu
Julius,
Hawa jamaa kama ukisikia kauli zao naamini hata wewe utakereka sana... Simply unaambiwa "Kwani wewe nani?"
Upuuzi mtupu, washaigeuza nchi yao na wanapoenda kuomba kura kwa wananchi wanaenda kwa lugha za ulaghai mkubwa, nasikitika sana lakini ndiyo Tanzania yetu mkuu
Rev. Tuanzishe siku ya kuchapa viboko hawa viongozi wa mitaa... nao eti wanshinda maofisini tu!!! Hizi ndio kazi zao piaHuu uchafu wa Dar, mnamsubiri nani awafanyie kazi na awasafishie jiji lenu?
Ikiwa mna mamlaka na nyenzo, je mnahitaji nini?
Kikitokea Kipindupindu, mtamlaumu nani?
Samahani sana Hela tuliyonayo ni ya kununulia Benz za mameya na nissan za wakurugenzi usafi sio lazima kwa sasa, wewe unadhani tutaendaje airport kupokea wageni na magari wasiwasi. Ingawa tuna mapato makubwa tu yatokanayo na kodi nyingi, lakini POSHO za madiwani ni kipaumbele unajua kamati ziko nyingi sana na hukaa karibu kila siku hivyo Inabidi tuwalipe wao na suala la usafi wa Jiji ni Baadaye. Hata hivyo tunajitahidi sana kusafisha mji kwa kufagia mitaa na chelewa si unaona barabara zinavyong'ara. Ohoo nimesahau na takataka tunakusanya na magari ya takataka ambayo na yenyewe ni takataka si unajua dawa ya moto no moto???Mitaro kweli ni tatizo tunangoja Wajapani watusaidie sie hatuwezi kabisa na ndio maana namaliza kwa kukuomba kama mchungaji utuombee kipindupindu kisiingie kabla wajapani hawajafika.
Julius,
Hawa jamaa kama ukisikia kauli zao naamini hata wewe utakereka sana... Simply unaambiwa "Kwani wewe nani?"
Upuuzi mtupu, washaigeuza nchi yao na wanapoenda kuomba kura kwa wananchi wanaenda kwa lugha za ulaghai mkubwa, nasikitika sana lakini ndiyo Tanzania yetu mkuu
Kagame for EAC PresidentHuku Rwanda, Kagame usiku anawasha vogue lake(tena anaendesha mwenyewe) anazunguka mitaa ya Kigali.Ole wake meya akute kadhia ka hii ya Dar-es- Salaam,kesho yake mtu hana kazi...
Jaribuni kutembelea India muone uchafu......huo wa dar ni cha mtoto