Kimbelembele cha CHADEMA kimewatokea puani

Watu wanataka sera sio ufisadi ufisadi....khaa...tumechoka.Kama hamuna sera basi kiwe cha watu kaskazini kwa lengo maalum la kusaidiana kwenye mambo mbalimbali mfano mazishi,unyago,harusi...

Tuorodheshee sera za CCM ulizowahi kuzisikia kwenye mikutano yao.
 
Ata mm najua hawa CDM hawana mvuto maneno yao mengi kwenye mikutano yao ni ya kukosoa tu huwa hawaelezi nini kifanyike ni watu wa kulaumu tu sasa watanzania wameanza kuwashtukia wanawakimbia hawana mvuto, sera na agenda zao wawapo mikutanoni wanazungumzia mafisadi tu yani hawana jipya wenzao CCM wana sera zinazoeleweka na kutekelezeka huwa wanaeleza walihaidi nini na mpaka wakati huo kipi kimeshatekelezwa na kilichobaki kitatekelezwa lini watanzania wanawaelewa, watanzania wameshaanza kujua hiki chama cha CDM ni chama cha kindugu baba,mama,wakwe,wachumba,dada,kaka na urafiki umejaa humo lakini CCM ni chama cha watanzania wote yeyote ili mradi tu anazo sifa anaweza kuwa kiongozi lakini si kwa hawa CDM mpaka uwe ndugu,rafiki au shemeji hapo watakupa uongozi hawa jamaa huwa hawanaga demokrasia ya uchaguzi ndani ya chama chao wanaogopa kweli uchaguzi na siku ukisikia uchaguzi unafanyika kuanzia ngazi ya taifa ujue chama kinakufa kwa kuwa watataka walazimishe kuwaweka watu wao wanachama wao hawatakubaliana nao wanapiga kelele huku nje ya kutaka demokrasia na wakati ndani ya chama chao haipo,watalala doro kama wenzao CUF muda si mrefu kama wataendekeza undugu, urafiki, ubinafsi na siasa za jazba na uzushi ili kupata umaarufu!

Subiri bangi ikauke vizuri ndipo uivute vinginevyo matokeo yake ndiyo hayo uliyoandika.
 
Umeombwa uweke picha ku suport hoja yako, mbona hiyo ni simple tuu?? na walishasema wahenga: 'no evidence no right to speak'

Hana lolote shostito huyu. Kaambiwa aweke picha kachemka sasa analabila na kiswahili chake cha kijijini. Wenye akili zao wameweka picha za ushahidi Nape akihutubia watoto, yeye anaongea umbea tu bila ushahidi.

Kwa kifupi CCM hawakujua mtu sahihi wa kumtuma ndio wakachukua huyu kilaza asiyejua hata kiswahili.
 
Kelele Zote ambazo Zitto,mnyika,pro-cdm mulizokuwa munapiga kuhusu mkonge nilijua wananchi wa Tanga wapo upande wenu kumbe kimbelembele chenu ndicho kilichokuwa kinawasumbua.

Wananchi wa Tanga hawapo tayari kuhusika kwenye kilimo cha MkONGE,ushaidi wakimazingira unaonesha wazi kabisa jinsi wananchi walivyokataa kuitikia kwenye mkutano wa CDM. Picha zilizooneshwa kwenye media mbalimbali utagundua ninachonena.
Kwanza, mkutano uliuzuliwa na watu wachache,tofauti na mikutano mingi ya CDM.

Pili,hata hao tunaosema ni wachache kwenye uchache wao huohuo watoto wadogo ambao hawawezi kupiga kura hata baada ya 2015 kufikia ndio walikuwa weng kuliko hao watu wazima.

My take:
-kesheni mukiomba wa CDM cha chenu kiwe na mvuto sehemu mbalimbali ya Tz.
-Wabunge wenu wasipende kutia chapuo vitu ambavyo hawajafanyia uchunguzi.

Nilihudhuria mkutano wa CDM pale korogwe Mjini,mwitikio wa wananchi ulikua mkubwa sana.Ni vema ungetaja specific Area lakini si Mkoa wote wa Tanga kwa ujumla wake.
 
Acha Chuki, Watanzania wengi ni maskini wa akili, unaweza ukawa na nia nzuri ya kumsaidia ukishindwa kwa sababu ccm inapenda kuwa na taifa la wajinga ili watawale milele na wewe ni mmoja ya hao wajinga
 
Ahh, huyu hapa member mwingine wa CHADEMA akiongea na watoto. Kweli watoto ni Mungu, wapigie magoti.

IMG_3819.JPG
Ha ha ha ha Mkuu umeua kabisa!!!
 
Nilidhani mtoa mada angekuja na mpango mbadala wa kuwakomboa wananchi wa Tanga kiuchumi kumbe ni siasa tu. Ukiwa kwako umekalia sofa unakula kodi ya umma kupitia siasa, know that the world is different out there!
 
Kelele Zote ambazo Zitto,mnyika,pro-cdm mulizokuwa munapiga kuhusu mkonge nilijua wananchi wa Tanga wapo upande wenu kumbe kimbelembele chenu ndicho kilichokuwa kinawasumbua.

Wananchi wa Tanga hawapo tayari kuhusika kwenye kilimo cha MkONGE,ushaidi wakimazingira unaonesha wazi kabisa jinsi wananchi walivyokataa kuitikia kwenye mkutano wa CDM. Picha zilizooneshwa kwenye media mbalimbali utagundua ninachonena.
Kwanza, mkutano uliuzuliwa na watu wachache,tofauti na mikutano mingi ya CDM.

Pili,hata hao tunaosema ni wachache kwenye uchache wao huohuo watoto wadogo ambao hawawezi kupiga kura hata baada ya 2015 kufikia ndio walikuwa weng kuliko hao watu wazima.

My take:
-kesheni mukiomba wa CDM cha chenu kiwe na mvuto sehemu mbalimbali ya Tz.
-Wabunge wenu wasipende kutia chapuo vitu ambavyo hawajafanyia uchunguzi.

Ndugu kazi unayo, maana hii thread inaonyesha ujinga wako ulivyo komaa na kuzaa mauti ya ubongo wako.
 
Hana lolote shostito huyu. Kaambiwa aweke picha kachemka sasa analabila na kiswahili chake cha kijijini. Wenye akili zao wameweka picha za ushahidi Nape akihutubia watoto, yeye anaongea umbea tu bila ushahidi.

Kwa kifupi CCM hawakujua mtu sahihi wa kumtuma ndio wakachukua huyu kilaza asiyejua hata kiswahili.
Hata najiuliza huo U-Mzumbe kaupata wapi kama sio kudanganyana.
 
Ahh, huyu hapa member mwingine wa CHADEMA akiongea na watoto. Kweli watoto ni Mungu, wapigie magoti.

IMG_3819.JPG

hahahahahahah bway bway bway teh teh teh anafundisha nini watoto coz wenyewe wakipga magoti wanajua wamepewa adhabu MAGAMBAZ KAZI KWELI KWELI
 
Kelele Zote ambazo Zitto,mnyika,pro-cdm mulizokuwa munapiga kuhusu mkonge nilijua wananchi wa Tanga wapo upande wenu kumbe kimbelembele chenu ndicho kilichokuwa kinawasumbua.

Wananchi wa Tanga hawapo tayari kuhusika kwenye kilimo cha MkONGE,ushaidi wakimazingira unaonesha wazi kabisa jinsi wananchi walivyokataa kuitikia kwenye mkutano wa CDM. Picha zilizooneshwa kwenye media mbalimbali utagundua ninachonena.
Kwanza, mkutano uliuzuliwa na watu wachache,tofauti na mikutano mingi ya CDM.

Pili,hata hao tunaosema ni wachache kwenye uchache wao huohuo watoto wadogo ambao hawawezi kupiga kura hata baada ya 2015 kufikia ndio walikuwa weng kuliko hao watu wazima.

My take:
-kesheni mukiomba wa CDM cha chenu kiwe na mvuto sehemu mbalimbali ya Tz.
-Wabunge wenu wasipende kutia chapuo vitu ambavyo hawajafanyia uchunguzi.

kwani walienda kuomba kura?
 
Ata mm najua hawa CDM hawana mvuto maneno yao mengi kwenye mikutano yao ni ya kukosoa tu huwa hawaelezi nini kifanyike ni watu wa kulaumu tu sasa watanzania wameanza kuwashtukia wanawakimbia hawana mvuto, sera na agenda zao wawapo mikutanoni wanazungumzia mafisadi tu yani hawana jipya wenzao CCM wana sera zinazoeleweka na kutekelezeka huwa wanaeleza walihaidi nini na mpaka wakati huo kipi kimeshatekelezwa na kilichobaki kitatekelezwa lini watanzania wanawaelewa, watanzania wameshaanza kujua hiki chama cha CDM ni chama cha kindugu baba,mama,wakwe,wachumba,dada,kaka na urafiki umejaa humo lakini CCM ni chama cha watanzania wote yeyote ili mradi tu anazo sifa anaweza kuwa kiongozi lakini si kwa hawa CDM mpaka uwe ndugu,rafiki au shemeji hapo watakupa uongozi hawa jamaa huwa hawanaga demokrasia ya uchaguzi ndani ya chama chao wanaogopa kweli uchaguzi na siku ukisikia uchaguzi unafanyika kuanzia ngazi ya taifa ujue chama kinakufa kwa kuwa watataka walazimishe kuwaweka watu wao wanachama wao hawatakubaliana nao wanapiga kelele huku nje ya kutaka demokrasia na wakati ndani ya chama chao haipo,watalala doro kama wenzao CUF muda si mrefu kama wataendekeza undugu, urafiki, ubinafsi na siasa za jazba na uzushi ili kupata umaarufu!

Hiyo CCM unayoizungumzia ipo kweli au ni ya kufikirika? Hoja ya mleta mada ni CDM kutokuwa na mvuto, watu kutokuhudhuria mikutano yake na aliahidi kutuletea picha. Mtoa hoja ameshindwa (hadi sasa) kuthibitisha aliyoyasema hasa kwa kushindwa kuleta picha ya uchache wa watu na mahali ulipofanyika mkutano. Wewe umeanza kudandia gari bila kujua linakwenda wapi.
 
Kweli huna akili,unaweka ppicha hiyo ukituambia ni mkutano wa CDM wakati nyuma kwenye iyo picha tunaona bendera nyingine.Au wewe kipofu?sikunyingine jipange kabla hujaweka picha za ajabu
Mkuu hujamuelewa tu sikonge. Kama ni wewe ni profesor basi ume specialize kwenye viazi
 
Wananchi wa Tanga hawapo tayari kuhusika kwenye kilimo cha MkONGE,

QUOTE]
Sasa wanataka waendelee kuwa wapagazi katika mkoa wao mpaka lini? Nilitegemea serikali nayo ingeishukuru CDM kwa angalau kuikimbusha wajibu wake wa kubuni vyanzo mbalimbali vya mapato na ajira na kuhamasisha wananchi washiriki katika kujiletea maendeleo...Zao la mkonge sio tu kwamba litawainua kiuchumi,reli zitarejeshwa na bandari ya Tanga ambayo ni kama imekufa itafufuliwa bali pianchi itafaidika kwa kupunguza tatizo la ajira lililopo..Naona ushasahu mahali mkonge ulipotufikisha mpaka ukaitwa 'white gold of Tanzania'...
 
Najaribu kuangalia hoja ya kujibu lakini sioni kitu!!!Naona mitazamo ya kimasaburi ndio iliyojaa,kama vipe mwambie PADRI SLAA aje kuokoa jahazi.CDM kazi kulalamika tuuu..!!CHAMA Cha MIKOA MITATU i.e Arusha,mbeya .....sasa mutachukuaje nchi??pumba..§£%vu

Unaongea pumba.

Chama Cha Majambazi (CCM) kama si kuchakachua 2010, DSM yote ubunge ulikuwa ni CDM, na pia Tanzania nzima hakuna mwnye akili timamu aliyechagua Chama Cha majambazi labda kwa Jambazi lazima amchague jambazi mwenzie, kama wale wa kule wahalifu majambazi wa Temeke DSM wanaotaka mkuu wa Polisi Mkoa abadilishwe ili waibe vizuri.

PEnye kuongea ukweli nyie mnasema kulalamika. Akili ZERO KWELI nyie


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Nilidhani mtoa mada angekuja na mpango mbadala wa kuwakomboa wananchi wa Tanga kiuchumi kumbe ni siasa tu. Ukiwa kwako umekalia sofa unakula kodi ya umma kupitia siasa, know that the world is different out there!


HUyu ni GAMBA tu, hana lolote kama kawaida yao kuanzisha kutengeneza kesi wakati hawana ushahidi, kama yaliyotokea katika kesi ya kupinga ubunge Arusha.

Huyu tunahitaji ushahidi wa picha, yeye anaanza kutuletea ngonjera anafikiri tupo shuleni hapa.

Acha kuropoka na kama huna mada usianzishe thread ili uonekane nawe upo. Changia mawazo ya wenzio au click "LIKE" nasi tutaelewa kuwa bado upo hai hujakufa kwa pressure ya kushindwa kuvuana magamba.


MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
CDM haina utamaduni wa kusomba watu kwa MAFUSO na MATIPA ya mchanga kutoka ng'ambo moja kwenda ughaibuni kuhudhuria mikutano ya kisiasa.so hao waliohudhuria ni wakazi halisi wa eneo husika.Ungekuwa mkutano wa CCM tungeshuhudi mikokoteni na vikwewe ikisomba watu na kuwamimina eneo la tukio.
 
Back
Top Bottom