Massenberg
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 1,173
- 1,370
Watu wanataka sera sio ufisadi ufisadi....khaa...tumechoka.Kama hamuna sera basi kiwe cha watu kaskazini kwa lengo maalum la kusaidiana kwenye mambo mbalimbali mfano mazishi,unyago,harusi...
Tuorodheshee sera za CCM ulizowahi kuzisikia kwenye mikutano yao.