Baada ya kuweka utaratibu wa stakabadhi gharani kwa lengo la kuboresha hali za wakulima hao. Msimu huu umekuwa tofauti sababu hadi kesho wamekaa na stakabadhi zao na hela hawajapata wakati korosho walishakabidhi tangu mwaka uliop wanashindwa hata kupeleka watoto shuleni. Sasa kweli kilimo kwanza ndio hiki!