Kilimo: nilichoona kiteto

nilipata fursa ya kwenda Kiteto hivi karibuni.. nimejifunza yafuatayo:

  • Ardhi ya kule ni karibu sawa na bure na bado ipo virgin --ekari inauzwa Tsh 10,000 kwa ekari.. cha kushangaza zaidi kukodisha shamba inakuwa 10,000 kwa ekari vilevile
  • watu wanajitahidi kulima mahindi, maharage, choroko na sunflowers (alizeti) na soko la mazao hayo lipo sana
  • tatizo kubwa la kiteto ni upatikanaji wa maji. Msimu wa mvua mara nyingi ni mmoja. kwa hiyo ukipatia mvua ikanyesha kwa wingi unakula bingo. ikigoma inakula kwako
  • kama mtu upo tayari kucheza na risk unaweza kujaribisha kulima huko (kilichonitia moyo wapo watu wengi wanalima na wamefanikiwa-- MIMI NITAWEKEZA KIDOGO kwanza ili kuona nitapata nini!!!

Mkuu kanyagio ubarikiwe naimani upo ok Kiteto ipo mkoa gani huwa nasikia tu na niumbaligani toka Dar
 
nilipata fursa ya kwenda Kiteto hivi karibuni.. nimejifunza yafuatayo:

  • Ardhi ya kule ni karibu sawa na bure na bado ipo virgin --ekari inauzwa Tsh 10,000 kwa ekari.. cha kushangaza zaidi kukodisha shamba inakuwa 10,000 kwa ekari vilevile
  • watu wanajitahidi kulima mahindi, maharage, choroko na sunflowers (alizeti) na soko la mazao hayo lipo sana
  • tatizo kubwa la kiteto ni upatikanaji wa maji. Msimu wa mvua mara nyingi ni mmoja. kwa hiyo ukipatia mvua ikanyesha kwa wingi unakula bingo. ikigoma inakula kwako
  • kama mtu upo tayari kucheza na risk unaweza kujaribisha kulima huko (kilichonitia moyo wapo watu wengi wanalima na wamefanikiwa-- MIMI NITAWEKEZA KIDOGO kwanza ili kuona nitapata nini!!!
WANAO LISHA MIFUGO YAO KWENYE MASHAMBA YA WENZAO WAMEHAMA?
 
Back
Top Bottom