Ndugu zangu nashukuru sana mada mbalimbali zinazojadilikwa kuhusu kilimo. na mimi ndo naanza kujikita katika kilimo.
Nina shamba langu katika wilaya ya bagamoyo (maeneo ya barabara ya Bagamoyo-Msata) sasa mimi ninataka kutumia mvua za masika kwa ajili ya kulima..nimenza kutayarisha shamba lenye ekari 7. Sasa ndugu zangu naomba kuuliza ni mazao gani ya muda mfupi ninayoweza kulima wakati wa msimu wa mvua za masika (machi-May)?.
Lengo ni kulima halafu nauza hayo mazao Dar es salaam.
Nimesoma threads za kilimo lakini nimeshindwa kupata taarifa ninayohitaji. Ndugu zangu kila atakayesoma ujumbe huu na anafahamu masuala ya kilimo naomba anisaidie.nitashukuru nikifahamishwa pia masuala ambayo natakiwa kuzingatia wakati wa kulima kwenye masika!
Natanguliza shukrani
Nina shamba langu katika wilaya ya bagamoyo (maeneo ya barabara ya Bagamoyo-Msata) sasa mimi ninataka kutumia mvua za masika kwa ajili ya kulima..nimenza kutayarisha shamba lenye ekari 7. Sasa ndugu zangu naomba kuuliza ni mazao gani ya muda mfupi ninayoweza kulima wakati wa msimu wa mvua za masika (machi-May)?.
Lengo ni kulima halafu nauza hayo mazao Dar es salaam.
Nimesoma threads za kilimo lakini nimeshindwa kupata taarifa ninayohitaji. Ndugu zangu kila atakayesoma ujumbe huu na anafahamu masuala ya kilimo naomba anisaidie.nitashukuru nikifahamishwa pia masuala ambayo natakiwa kuzingatia wakati wa kulima kwenye masika!
Natanguliza shukrani