kotinkarwak
JF-Expert Member
- Aug 5, 2010
- 376
- 114
Shukran kwa share mkuu... Nitaifanyia kazi.
Shukran kwa share mkuu... Nitaifanyia kazi.
Mimi nimeipenda hii clip kwani inaonyesha ujanja wanaotumia wenzetu kwenye kilimo, mbegu inatumiwa kutengeneza vimiche kibao vya kupandikiza kwenye "main" shamba. Machine zinarahisisha kazi ila kwa hapa kwetu hata nguvu kazi pia inaweza kutumika ili kutoa ajira. Cha msingi ni kusindika hilo zao na hapo ndio "value" inaongezeka.
Je shughuli hii inaweza kufanyika? na kama sio sweet potatoes, je, mihogo je inawezekana kwa ukubwa huu?
Hapa ni kiasi cha kuunganisha nguvu kutimiza mahitaji ya kifedha ya shughuli kama hii.