jembelamkono
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 2,733
- 2,003
Habari za week end wakuu,
Mwaka huu nimedhamiria kujikita kwenye kilimo cha biashara,hasa zao la alizeti.
Kabla ya kuingia kichwa kichwa ningependa kupata mawazo kutoka kwa wataalamu au wazoefu ambao pia wamejikita kwenye kilimo cha biashara cha zao hili.
Haijalishi ni eneo gani unafanyia kilimo chako,lakini ingekua vyema kama tungepeana mafanikio na changamoto zilizopo ktk kilimo hiki hasa tukiangazia kwenye mambo muhimu kama,
1.Aina ya shamba(udongo)
2.Hali ya hewa
3.Vitendea kazi
4.Uchaguzi wa aina ya mbegu sahihi.
5.Utaalamu katika upandaji wa mbegu.
6.Changamoto za Ndege,wadudu na magugu korofi.
7.Virutubisho /Mbolea
8.Umwagiliaji (kama unahitajika)
9.Ulinzi wa shamba.
10.Uvunaji
11.Uhifadhi
12.Masoko.
Naamini kunawengi hapa jf wanajishughulisha au wanauelewa juu ya kilimo hiki.
Mnakaribishwa kuchangia.
Mwaka huu nimedhamiria kujikita kwenye kilimo cha biashara,hasa zao la alizeti.
Kabla ya kuingia kichwa kichwa ningependa kupata mawazo kutoka kwa wataalamu au wazoefu ambao pia wamejikita kwenye kilimo cha biashara cha zao hili.
Haijalishi ni eneo gani unafanyia kilimo chako,lakini ingekua vyema kama tungepeana mafanikio na changamoto zilizopo ktk kilimo hiki hasa tukiangazia kwenye mambo muhimu kama,
1.Aina ya shamba(udongo)
2.Hali ya hewa
3.Vitendea kazi
4.Uchaguzi wa aina ya mbegu sahihi.
5.Utaalamu katika upandaji wa mbegu.
6.Changamoto za Ndege,wadudu na magugu korofi.
7.Virutubisho /Mbolea
8.Umwagiliaji (kama unahitajika)
9.Ulinzi wa shamba.
10.Uvunaji
11.Uhifadhi
12.Masoko.
Naamini kunawengi hapa jf wanajishughulisha au wanauelewa juu ya kilimo hiki.
Mnakaribishwa kuchangia.