Kilimo cha Alizeti (Sunflower): Masoko, Mbinu na Ushauri toka kwa wadau

Kilimo cha Alzet kina hitaji mvua za wastan na kipindi cha kuvua kinahitaji jua.

Hk 1 hutoa gunia 7-12.

Gunia 1 lina uzito wa kg 65-70.

bei ya gunia wanauzaje? asante sana mkuu.
 
Habari wakuu,

Nakuja mbele yenu kutafuta taarifa za ukulima wa alizeti.

Naomba kuelimishwa kuhusu;

1. Mikoa gani inastawi vizuri?? Morogoro kunafaa??

2. Msimu unaanza lini na kuisha lini??

3. Gharama za toka kuandaa shamba hadi kuvuna ni kiasi gani kwa eka moja??

4. Mbegu gani ni nzuri inastahimili magonjwa na inatoa mazao bora??

5. Uuzaji unakuwaje?? Wanafuata shambani au unapeleka sokoni??

6. Kilo moja inauzwa kiasi gan??

7. Ufuta unahitaji hali gani ya hewa??

Natanguliza shukrani za dhati.
 
Asalaaam wanaJF, nimetafuta jukwaa la Kilimo sijaliona, nadhani hata hapa sijakosea jukwaa, nataka kuanza kilimo cha alizeti, ningependa kupata elimu kidogo juu ya kilimo hiki, hali ya hewa inayohitajika, madawa, upandaji na mengine mengine juu ya zao hili. Natanguliza shukrani zangu za dhati kwenu nyote.

Mimi mbali na kulima mbogamboga na matunda mwaka huu nimelima alizeti heka 8. Nimelima nyumbani iringa na nategemea mvua. Kule kwetu hatutumii madawa wala mbolea. Kuhusu upandaji inashauriwa kupanda kitaalamu na unatakiwa kujua ratiba za mvua. Baadhi ya maeneo huwa kuna janga la panya ambao hufukua mbegu baada ya kupanda so unatakiwa kufahamu historia ya eneo husika unapotarajia kuweka shamba lako. Kuhusu bei kwa kweli sina jibu kamili maana mimi natarajia kukamua mafuta
 
alizeti au ufuta??? naona juu umetaka alizeti alafu katikati umetaja ufuta Bulldog
 
Last edited by a moderator:
kwa alizeti navyojua haitaki mvua nyingi na inalimwa sana singida. mi nimepanda january katikati na natarajia kuvuna may. hawauzi kwa kilo ila gunia. gunia huwa linafika mpaka 65,000/-. kwa ekari moja unaeza toa gunia 12 mpaka 14 ukilima kitaalam.
 
kwa alizeti navyojua haitaki mvua nyingi na inalimwa sana singida. mi nimepanda january katikati na natarajia kuvuna may. hawauzi kwa kilo ila gunia. gunia huwa linafika mpaka 65,000/-. kwa ekari moja unaeza toa gunia 12 mpaka 14 ukilima kitaalam.

Umelima eka ngapi? Mashamba yanapatikana huko? Nahitaji ya kukodi.
 
Umelima eka ngapi? Mashamba yanapatikana huko? Nahitaji ya kukodi.

mi nilipata kwa mwanakijiji so sijalipia kukodi ila nimegharamia kulima na mbegu tu. now nafanya palizi na by next week natarajia kwenda Singida. nitakuulizia kwa wenyeji wangu kuhusu kukodi then tutawasiliana. ila kwa sasa msimu uko katikati..
 
mi nilipata kwa mwanakijiji so sijalipia kukodi ila nimegharamia kulima na mbegu tu. now nafanya palizi na by next week natarajia kwenda Singida. nitakuulizia kwa wenyeji wangu kuhusu kukodi then tutawasiliana. ila kwa sasa msimu uko katikati..

Nataka nilime eka za kutosha mwakani, mwaka huu nimeshindwa kwasababu sikuwa nataarifa za kutosha.
 
mkuu Chachu Ombara kwa Tabora sio sana kama Singida na Dodoma plus hiyo mikoa mingine. huku tumbaku ndo habari. alizeti inalimwa kwa uchache sanaaa
 
Last edited by a moderator:
Nimekuwa navutiwa sana na ukulima wa alizeti kama zao la biashara. Naomba mawazo ya mdau yeyote mwenye uzoefu na kilimo hiki na namna gani unaweza kupata faida; Masoko yanapatikanaje na pia je ni faida zaidi kulima alizeti na kuuza ama kulima na kukamua mafuta? Naleta hoja.

nakushari ununue alizeti then kamua mafuta na uza utapata faida
 
Habari za week end wakuu,
Mwaka huu nimedhamiria kujikita kwenye kilimo cha biashara,hasa zao la alizeti.

Kabla ya kuingia kichwa kichwa ningependa kupata mawazo kutoka kwa wataalamu au wazoefu ambao pia wamejikita kwenye kilimo cha biashara cha zao hili.

Haijalishi ni eneo gani unafanyia kilimo chako,lakini ingekua vyema kama tungepeana mafanikio na changamoto zilizopo ktk kilimo hiki hasa tukiangazia kwenye mambo muhimu kama,

1.Aina ya shamba(udongo)
2.Hali ya hewa
3.Vitendea kazi
4.Uchaguzi wa aina ya mbegu sahihi.
5.Utaalamu katika upandaji wa mbegu.
6.Changamoto za Ndege,wadudu na magugu korofi.
7.Virutubisho /Mbolea
8.Umwagiliaji (kama unahitajika)
9.Ulinzi wa shamba.
10.Uvunaji
11.Uhifadhi
12.Masoko.

Naamini kunawengi hapa jf wanajishughulisha au wanauelewa juu ya kilimo hiki.
Mnakaribishwa kuchangia.
 
Habari za week end wakuu,
Mwaka huu nimedhamiria kujikita kwenye kilimo cha biashara,hasa zao la alizeti.

Kabla ya kuingia kichwa kichwa ningependa kupata mawazo kutoka kwa wataalamu au wazoefu ambao pia wamejikita kwenye kilimo cha biashara cha zao hili.

Haijalishi ni eneo gani unafanyia kilimo chako,lakini ingekua vyema kama tungepeana mafanikio na changamoto zilizopo ktk kilimo hiki hasa tukiangazia kwenye mambo muhimu kama,

1.Aina ya shamba(udongo)
2.Hali ya hewa
3.Vitendea kazi
4.Uchaguzi wa aina ya mbegu sahihi.
5.Utaalamu katika upandaji wa mbegu.
6.Changamoto za Ndege,wadudu na magugu korofi.
7.Virutubisho /Mbolea
8.Umwagiliaji (kama unahitajika)
9.Ulinzi wa shamba.
10.Uvunaji
11.Uhifadhi
12.Masoko.

Naamini kunawengi hapa jf wanajishughulisha au wanauelewa juu ya kilimo hiki.
Mnakaribishwa kuchangia.
Jalibu kuggoogle utapa maelekezo yatayo kusaidia.
Chuo cha kilimo uyole mbeya kuna maelekezo mazuri sana wameyaweka pale.
 
Back
Top Bottom