Matanzia kizebazeba
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 654
- 630
Unataka kuwekeza mkoa gani? Kwa ufahamu wangu mimi alizeti ni zao bora sana ukiachana na swala la soko hata wewe mwenyewe unaweza ukazalisha mafuta kama kwa Dsm bei ya sasa dumu la lita tano ni elfu kumi na saba wewe wekeza kwa speed zote zao la alizeti ni zuri sana
asante sana mkuu kwa mawazo ya kunipa moyo sasa naona nguvu ya kuingia kwa miguu yote