Ucjali; maana miangwi ni mingi humu ..............tunahitaji kupambanua nini tafsiri yake
bythe way na kuinbox
Inbox yangu haina kitu mpaka sasa. Au inbox ipi mkuu?
Ucjali; maana miangwi ni mingi humu ..............tunahitaji kupambanua nini tafsiri yake
bythe way na kuinbox
Nimekuwa navutiwa sana na ukulima wa alizeti kama zao la biashara. Naomba mawazo ya mdau yeyote mwenye uzoefu na kilimo hiki na namna gani unaweza kupata faida; Masoko yanapatikanaje na pia je ni faida zaidi kulima alizeti na kuuza ama kulima na kukamua mafuta? Naleta hoja.
S. No | ITEMS | UNIT PRICE | QTY | AMOUNT |
1) | a) 30 HP Double Chamber Expeller complete with long steam kettle with pulley set. Heavy duty inter Gear box, Shafts are Alloy Steel Made b) 30 HP Motor, c) 30HP Starters for above Motor. d) Main Switch e) Change over switch (Reverse and Forward) f) V' Belts Set Note :Capacity of One Expeller is 7-8 Tons in 24 hours | 15500.00 | 1 set | 15500.00 |
LAT hiyo price ni USD sio? kwa capacity hiyo in 24hrs i think it's reasonable price. Vipi kuhusu export & import duty (range)?. Je hii machine ndio ile yenye pressing nzuri above 90%? je, siku hizi unaweza kununua kitu kutoka kwa muhindi na ukaamini kabisa ubora wake?
Ni vizuri kwenda mwenyewe kufanya utafiti huko babati kabla ya kuamua kununua, hata ukitumia laki 2 kwa utafiti si mbaya.
For anyone interested in Joint venture forces ......
mimi nina eneo lipo dar ambapo tayari kuna Factory building iliyo tayari .... inafaa kabisa kwa ajili ya kiwanda kidogo cha kukamulia mafuta ya alizeti au karanga ..... factory building ina floor area ya 98sqm ....
any experienced in this field or fresh to start can contact
Ktk hili la kutafuta mashine, naomba ikiwezekana kila aliye karibu na mashine hizi ajaribu kupata aina za mashine zilizopo hapo. Kutokea hapo tunaweza kupata aina za mashine zinazopendwa zaidi( hatimaye tutapata sifa/siri ya hizo mashine).
Nipendekeze kitu hapa, kama una-plan ya kuingia ktk usindikaji wa mazao kama alizeti/ufuta, ni vizuri kujua proper location za siku zijazo hasa kwa sisi tulio hapa Dar.
Naamini Chalinze/Mdaula/Moro surbubs/Lugoba/Mlandizi ni maeneo mwafaka ili kuwa karibu na wakulima.
For anyone interested in Joint venture forces ......
mimi nina eneo lipo dar ambapo tayari kuna Factory building iliyo tayari .... inafaa kabisa kwa ajili ya kiwanda kidogo cha kukamulia mafuta ya alizeti au karanga ..... factory building ina floor area ya 98sqm ....
any experienced in this field or fresh to start can contact
Kaka cjajua kwanini kiwanda kiko Dar?Je ni kwa ajili ya uhakika wa umeme, soko la mafuta na mashudu ama nini? Vinginevyo nadhani ungepunguza pressure ya kusafirisha alizeti kwa kuestablish kiwanda wanapozalisha kisha ukasafirisha mashudu au mafuta...actually mashudu wanakuja wenyewe hapo hapo kiwandani. Wakati mnafikiria kuanzisha mafuta ya alizeti,ni vema kukumbuka suala la purification, mafuta haya yanapigwa madongo na wale waingizao mafuta toka nje kwa kuwa hadi sasa hakuna utaratibu mzuri wa kufanya purification.
kikubwa hapa najaribu kupata bottle filling,caping and labelling machine kutoka china ili niwe na superior quality of packaging ... pia nikiweza kupata refinery one equipemnt ili niwe na product nzuri
lets hope for the best
Labda KOMANDOO atanisadia aina ya mashine zinazopatikana babati ili niokoe usumbufu wa kwenda huko
Mkuu nashukuru kwa mtazamo huu> Labda twende level ya pili. Why Dar? Je ni kwa kuwa unataka ku-export au ready market? Kama ni ready market ya Dar (achilia mbali kuexport) umejua consumption ya Dar ikoje? Labda nikupe changamoto nyingine. Wakati wakazi wa Dar wanakadiriwa kati ya 3.5-4milioni, nadhani ni nusu (au pungufu) tu ndo wanakula products(seedcake na mengine) za sunflower. Nilidhani unaweza kuwa na outward looking kwa kuangalia opportunities zilizoko kwa masoko ya Rwanda, Burundi, Uganda, Zambia na DRC ambazo ziko karibu na central Tz kuliko ilivyo Dar. Kwa nini nasema hivyo? Kwa sasa nipo Kibaigwa hapa Dodoma. Lakini unaweza kuangalia magari yanayopakia mahindi kuelekea Dar na Magari yanayopakia Unga kutoka Dar kurudi mikoa ya Kati!!!! Utashangaa...natamani mtu mmoja siku moja anifanyie uchambuzi wa kiuchumi nione hii. Hata mikoa ya Lindi na Mtwara hununua unga toka Dar, sasa najiuliza kwa nini serious investors wasiwekeze kwenye viwanda vya unga na good package hapa Dodoma badala ya kusafirisha kwenda Dar?
ninajifunza kitu hapa. Kuongezea tu, Dar uhakika wa soko la vyote upo na kwa bei nzuri wakati ukitafuta soko la nje, pia usafiri toka huku ni mzuri tu. Kama final product unataka iwe juu fikiria kusafirisha mafuta toka Magugu, Babati, barabara mbaya unafika na madumu machafu. Na ndio hali hiyo sehemu nyingi zenye mazao. Pili watu mikoani na vijiji vinavyolima alizeti wana njia zao simple za kutumia kukamua mafuta hawatanunua mafuta yako. Na mwisho ni kuwa Dar karibu kila mkoa unaleta mazao hapa. Kwa hiyo tunapokea toka Manyara, Iringa hata Dodoma na Singida. Dar kuna uhakika wa umeme na good packaging kwani viwanda vingi vipo hapa. Mie naona kwa hali ilivyo sasa bora hapa Dar.
asante LAT kwakweli mimi huwa ninashangaa watu wanawezaje kula haya mafuta mengi yana harufu sana. Naona tubadilike sasa tunapaswa kutengeneza vitu vyenye viwango vya juu na hii EAC la tutapoteza soko kwakuwa bidhaa za wenzetu zitakuwa juu.
Mkuu mafuta ya alzeti yana Demand kubwa sana hata nje ya nchi, tatizo ni Quantity, kuna makampuni kibao ya nje huwa yanataka mafuta ya Alzeti ila wanataka tani za kufa mtu,
Alzeti ili upate faida ni lazima Ulime na kukamua mwenyewe, na ukiwa na kiwanda chako ni lazima ununue na za wengine, make hapo utauza MAFUTA NA MASHUDU