ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,649
Mbona huku Mang'ola bado hawatulipi bei hiyo?
Duuuuuuuuuu! Mkuu nilikuwa huko mwezi wa 9, umenikumbusha mbali sana kamanda. Nna ndugu yangu anaishi hapo magereza mang'ola
Mbona huku Mang'ola bado hawatulipi bei hiyo?
Mods naomba muunagsnishe hii na ile yangu.ili tuchangie mawazo kwa uzuri zaidi
Bei ya vitunguu yazidi kupanda na hivyo kuzidi kuwanufaisha wakulima. Mwezi August na September 2011 bei ya vitunguu ilikuwa ni kati ya TZS 55,000 - TZS 60,000 kwa gunia. Mwezi huu wa November bei imepanda na kufikia TZS 85,000 - TZS 90,000 kwa gunia. Nchi zinazonunua bidhaa hiyo kwa wingi zimetajwa kuwa ni kenya, msumbiji, madagascar na Comoro.
Hongereni wakulima wa vitunguu!
Source: ITV taarifa ya habari za biashara
hiyo ni bei ya kariakoo mkuu! Mang'ola iko wapi?
Nang'ola iko wapi?
Ekari moja wanakodisha sh. ngapi kwa msimu/ kwa mwaka?
Unaweza kupata maximum ekari ngapi?
Gharama ya kulima na kutunza ekari moja ni sh. ngapi>
Ekari moja inatoa gunia ngapi? Minimum na maximum?
Huko Mang'ola gunia moja mnauza bei gani?
Mtu anaweza kununua gunia 250 kwa siku ngapi?
Duu, mkuu kama ni msaada hii sasa imezidi! Yaani unataka kutengeneza mchanganuo moja kwa moja tena bureeee bila hata kulipia consultancy fee. hata kama msaada hii sasa imezidi. Nna wasiwasi kama wewe ni mkulima/mfanyabiashara maana ni kama huna ujualo completely!
Nang'ola iko wapi?
Ekari moja wanakodisha sh. ngapi kwa msimu/ kwa mwaka?
Unaweza kupata maximum ekari ngapi?
Gharama ya kulima na kutunza ekari moja ni sh. ngapi>
Ekari moja inatoa gunia ngapi? Minimum na maximum?
Huko Mang'ola gunia moja mnauza bei gani?
Mtu anaweza kununua gunia 250 kwa siku ngapi?[/QU
Duu, mkuu kama ni msaada hii sasa imezidi! Yaani unataka kutengeneza mchanganuo moja kwa moja tena bureeee bila hata kulipia consultancy fee. hata kama msaada hii sasa imezidi. Nna wasiwasi kama wewe ni mkulima/mfanyabiashara maana ni kama huna ujualo completely!
Huyo ndiyo mfanyabiashara/ mwekezaji wa karne ya 21. Majibu ya hayo maswali hapo juu yanaweza kutolewa na mtu 1. Yule anayefanya kilimo kama Biashara na sio yule anayefanya kilimo ili azalishe chakula cha kujikimu halafu ziada auze akanunue mahtaji madogo madogo. Kilimo hcho kimeptwa na wakati, Mapinduzi ya kijani yatakuja kama tutawekeza ktk kilimo, kama tutafanya kilimo cha biashara, kama tutajiuliza maswali kama ya Che na mengneyo kabla ya kuwekeza (ktk kilimo chetu)
Apa kuna akili sana, vitunguu mara nyungi vinakubali sehemu mbalimbali jaribu mahala popote ata matuta mawili ivi, nunua miche iliyokwisha oteshwa weka mboji nyingi. alafu shida yake ni utunzaji baada ya kuvuna.
Hata Dodoma vinakubali........................nimejribu kwa ajili ya kula sasa najipanga zaidi, changamoto ya Dodoma ni maji ya kutosha!
Hii kitu wadau wameshaijadili sana Bwana Eliamini, hebu pitia huku https://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/144095-kilimo-cha-vitunguu.html na huku https://www.jamiiforums.com/business-and-economic-forum/69559-ardhi-kwa-kilimo-cha-kitunguu.html Kisha soma hiiWadau naombeni ushauri wa kulima kitunguu kwa yoyote mwenye uzoefu na hiki kilimo.napenda nijue mahitaji na gharama kwa heka 1
Wadau naombeni ushauri wa kulima kitunguu kwa yoyote mwenye uzoefu na hiki kilimo.napenda nijue mahitaji na gharama kwa heka 1
Natarajia desember tuwe na trip mbili za Iringa, ya mwisho itakuwa baada ya x-mass hivi,naamini hii utashiriki mkuu. Nitakuwa na vijana wa jf baadhi.
Mkuu hizi Trip au ushirikiano huu wa wana jf unakuaje ,nijuze mkuu maana ugeni wa jukwaa hili nadhani unachangia,nitashukuru pia (ngataabel@yahoo.com )
wakuu nilikuwa na-review hii thread, nikaona jinsi wazee mlivyomwaga nondo. sasa kwa wanaofahamu vizuri kilimo cha vitunguu. Je vitunguu vinakubali ardhi ya mkuranga na Bagamoyo? hasa ukichukulia case ambapo kuna mto usiokauka... au vinalimwa sehemu zenye ubaridi kama Iringa?- au kikubwa ni maji ya kumwagilia. nitashukuru kwa taarifa!!