Wadau,

Napenda kufanya kilimo cha vitunguu ila sina data za kutosha kuhusu hili swala.

Nimesikia kuna sehemu inaitwa mang`ola wanalima ila sijawahi fika,sehemu nyingine ni Iringa ila sasa nashindwa kujua ni wapi kati ya sehemu hizo mbili nimzuri na cheap.

Then: ingependa kujua mashamba yanakodishwa shiling ngapi? Mbegu kwa heka ni sh ngapi? Gharama ya kulima pamoja na kuweka matuta? Kupanda? Mtu wakulinda shamba ni sh ngapi?na vitu vingine ambavyo sivijuwi.

Wadau haya yote yametokana na hali mbaya ya wategemeawo mwisho wa mwezi.naombeni mawazo yenu wadau.

Naomba kuwakilisha hoja.

Mcheck Bennet wa mitiki blogspot ana data hizo
 
Thanks bro itamcheck inamfikiria mawazo ya wengi yanakupa uwanja mkubwa wa kuplay.
 
Vumilia tu Mzee. DAta zote utazipata humuhumu, and ukizipata share pia humu.
 
Wadau naomba msaada kwa anaejua soko zuri kwa ajili ya vitunguu,middlemen wanatutesa sana wakulima kwa bei ndogo na rumbesa.Msaada please great thinkers.
 
Mkuu kama uzalishaji wako ni mkubwa mimi nakushauri utengeneze mivuko ya nusu kilo na kilo moja upeki mwenyewe uanzishe stoo ndogo ndogo mitaa ya kariakoo na namanga kama unauwezo kidogo kimfuko.

Utapata wakati mgumu mwanzo hesabia kama miezi mitatu mpaka mitano. Baada ya hapo utapiga bao.

Mfumo huu Tanzania haupo itakuwa wewe ndio muanzilishi nakwakuwa malighafi inatoka shambani kwahiyo itakuwa na bei rahisi kulinganisha na soko la kawaida ambalo linapita kwa madalali zaid ya wawili, ukiwa naufungaji mzuri uanaweza kuza kwene maduka makubwa, wakati huo unatafuta soko la mahoteli ya aina zote ndogo na kubwa jaribu kufanya stad kabla hujaanza
 
Nashukuru sana Kasopa kwa input.point taken
Kaka Nafurahi sana kusikia kuwa ni mmoja wa wakulima wa vitunguu,ningependa sana msaada wako coz hata mimi nataka kuingia kwenye hichi kilimo.plz naomba usaada wako kamanda.
 
Wadau naomba msaada kwa anaejua soko zuri kwa ajili ya vitunguu,middlemen wanatutesa sana wakulima kwa bei ndogo na rumbesa.Msaada please great thinkers.

Beethoven. Mie pia nimeanza kulima vitunguu na nategemea kutoa awamu ya kwanza tar 5 July hivi. Nilitembelewa na wazungu flani shambani kwangu wakaniambia from August watanipa mtaalamu wao ambapo atakuwa ananielekeza namna bora ya kulima then nitapata soko la ku-export.

Kama walichosema wanamaanisha nadhani ntakuchek ili tuweze export at large scale. Mana nilikubaliana nao kupanda heka 10 kila mwezi ili kuwa na constant supply, as kwa sasa nina heka 80 ziko in irrigation scheme.

Je wewe unalima maeneo gani? Tweza kuchek kama vp tukapeana views zaidi mana nami nina info kidogo kuhusu SOKO.
 
Beethoven. Mie pia nimeanza kulima vitunguu na nategemea kutoa awamu ya kwanza tar 5 July hivi. Nilitembelewa na wazungu flani shambani kwangu wakaniambia from August watanipa mtaalamu wao ambapo atakuwa ananielekeza namna bora ya kulima then nitapata soko la ku-export.
Kama walichosema wanamaanisha nadhani ntakuchek ili tuweze export at large scale. Mana nilikubaliana nao kupanda heka 10 kila mwezi ili kuwa na constant supply, as kwa sasa nina heka 80 ziko in irrigation scheme.
 
Mkuu Man city tunaweza kuwasiliana? maana hilo zao la kitunguu ni moja kati ya mazao niliyosomea miaka 3 pale SUA as Horticulturist na sasa nipo ndani ya ajira ya serikali kwenye mambo hayohayo. naitaji sana kulima hilo zao shida kubwa ni market na sehemu ya kulimia. kama inawezekana tuwasiliane kwa no 0758303708
 
Mkuu Man city tunaweza kuwasiliana? maana hilo zao la kitunguu ni moja kati ya mazao niliyosomea miaka 3 pale SUA as Horticulturist na sasa nipo ndani ya ajira ya serikali kwenye mambo hayohayo. naitaji sana kulima hilo zao shida kubwa ni market na sehemu ya kulimia. kama inawezekana tuwasiliane kwa no 0758303708

Mwanaharakati: No problem ntakuchek via mobile phone 4mo chit chat. Soko la nje lipo sana, suala wanalotaka ni stable supply so kama tweza join hands tukawa twalima at large scale na kucomply na taratibu za EU itakuwa ni rahisi kuingiza vitunguu Europe.

Kwani Wachina wametuzidi nn mpaka wawe ndo suppliers wakubwa wa Vitunguu in Europe? Mana kama mito tunayo, ardhi nzuri ipo sana tu, na machines zote zinazohitajika si tatizo mana zapatikana kiurahisi tu.

Lets aim higher
 
Kaka Nafurahi sana kusikia kuwa ni mmoja wa wakulima wa vitunguu,ningependa sana msaada wako coz hata mimi nataka kuingia kwenye hichi kilimo.plz naomba usaada wako kamanda.
mkuu najaribu vilevile,ulitaka msaada gani?maana shida yangu kubwa ni market,knye production naendelea kuwa mzoefu ila naweza kukupa abc zake.
 
Mkuu Man city tunaweza kuwasiliana? maana hilo zao la kitunguu ni moja kati ya mazao niliyosomea miaka 3 pale SUA as Horticulturist na sasa nipo ndani ya ajira ya serikali kwenye mambo hayohayo. naitaji sana kulima hilo zao shida kubwa ni market na sehemu ya kulimia. kama inawezekana tuwasiliane kwa no 0758303708
mi pia nina malengo ya kilimo hiki nitawacheck tuone jinsi ya kuunganisha nguvu.ahsantanteni wakuu.
 
kaka humu JF hakuna wakulima - na mimi nahangaika na swali langu la kilimo cha alzeti bado sina responce. humu watu ni wafanyakazi zaidi - lol
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom