Kilimo cha milonge

kuna kampuni ya kupromote mlonge ni wauzaji na wanunuzi wa mazao ya mlonge wako pamba house gorafa ya pili chumba 205 nadhani watakupidhaa msaada mkubwa maaana wanatengeneza bidhaa nyingi na dawa za magojwa mbalimbali na wana wataalam.Nakushauri ufike hapo
 
ni kweli mkuu hii ni tiba sana kuanzia mizizi hadi maua

nimekuwa nikitumia majani yake kama tiba ya malaria tangu mwaka 2007 malaria kwangu hakuna
mama yangu amepanda kule kwetu mwanza sasa la kufanya ntawasiliana nae anipe detail alifanyaje kuipanda then ntakupm

Mbegu zake pia ni dawa zinaondoa sumu mwilini
Unatafuna hizo mbegu asubuhi,mchana na jioni unakunywa na maji mengi
Maji mengi zinakata mafuta kwa wale wanaopenda kupungua
 
nitapataje mlonge nami nioteshe?
kama upo Dar nje ya Imalaseko kuna mtu anauza mbegu nimenunua na nimeotesha zinaota kirahisi sana.

Mlonge ni dawa pia chakula haya ni manufaa yake kutoka WebMED: used in human and animal food as source of high vitamin A, C. Potassium, Calcium and Protein.

Medicinal use: arthritis, rheumatism, diarrhea, diabetes, boost immunity, as a sex drive (aphrodisiac), prevention of pregnancy, breast milk improvement, direct application to skin in abscesses (sp), dandruff, allergies.

Seeds used for producing oil for soaps, perfume/ lubricants/biodiesel

matumizi ni mengi na mti huu unakua haraka na majani mengi sema haujapata promotion nzuri tu.
 
kama upo Dar nje ya Imalaseko kuna mtu anauza mbegu nimenunua na nimeotesha zinaota kirahisi sana.

Mlonge ni dawa pia chakula haya ni manufaa yake kutoka WebMED: used in human and animal food as source of high vitamin A, C. Potassium, Calcium and Protein.

Medicinal use: arthritis, rheumatism, diarrhea, diabetes, boost immunity, as a sex drive (aphrodisiac), prevention of pregnancy, breast milk improvement, direct application to skin in abscesses (sp), dandruff, allergies.

Seeds used for producing oil for soaps, perfume/ lubricants/biodiesel

matumizi ni mengi na mti huu unakua haraka na majani mengi sema haujapata promotion nzuri tu.


Asante mama joe, nitacheck na imalaseko.
 
Wadau mimi nimelima hili zao ni zao zao rahisi kupanda unapanda umbali wa mita 3 unapanda punje mbili kila shimo ikiota vizuri unang'oa moja baada ya miezi 9 inaanzakuzaa unavuna x2 kwa mwaka mlonge unazaa sana. Tatizo nililokabili nilipo panda zaidi ya ekari kumi kilo sh 350/= mlonge ni mwepesi sana kuuza kwa kilo hailpi kabisa. Nimeng'oa nimepanda Mua ila kung'oa mlonge sio kazi rahisi unakiazi ambacho hakifi hili zao si lakupata pesa za haja
 
Back
Top Bottom