Maseke ya Meme
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 695
- 914
Mkuu Mzuzu,maelezo mazuri, na je inachukua muda gani kwa muhogo kuanzia kupanda hadi kuvuna?Si lazima uwe umesajiliwa ila ni muhimu kwa mafanikio zaidi angalia hapo juu tumesema "interested parties, farmers, AMCOS, Cooperative Unions, companies involved in agriculture and farm groups"
Roughly maximum unaweza kutumia Sh 200,000 kwa eka kufyeka na kung'oa visiki, kulima ni Sh 45,000, kupalilia ni sh 45,000, kuvuna sh 50,000, zote ni kwa eka.. kununua mbegu ni kama sh 3000 hivi kwa eka
Eka 1 inaweza kutoa kati ya tani 10 - 15 za muhogo mbichi so kwa eka 100 unaweza kupata tani 1000 hadi 1500.
Bei tutakayoanza nayo ni $50 kwa tani ambayo ukiwa na tani hizo una uhakika wa kupata $50,000 hadi $75,000
So kwa kifupi unaweza kupata kati ya sh 79,000,000 hadi 120,000,000 kwa mwaka kwa eka 100..
Haya karibuni hizo ndiyo projections kwa sasa
Tangu kupanda hadi kuvuna ni kuanzia miezi 7 ila unavyoacha shambani ukomae zaidi unakuwa na uzito mkubwa zaidi na ndio unapata fedha zaidi. Hakuna mbolea wala madawa inayohitajika kwa kilimo cha muhogo Rufiji hadi sasa kwa mujibu wa tafiti zilizopo.Tutakuwa na trekta za kulima, buldozers za kufyeka (tutakodi caterpillar na watakaopenda tutachanga tungeze muda zaidi) , mashine ya kupanda na kuvuna ambazo zote tutafanya makubaliano ya kutumia hizo kwa kukodi na baadaye tutakata kwenye malipo.Tunataka kazi nyingi zifanywe na mashine zaidiMkuu Mzuzu,maelezo mazuri,na je inachukua muda gani kwa muhogo kuanzia kupanda hadi kuvuna?
Naona kama picha za Thailand hizo!Tazama mzigo wa muhogo tunaohitaji kwa siku upate picha hapa.
Naona kama picha za Thailand hizo!
Tangu kupanda hadi kuvuna ni kuanzia miezi 7 ila unavyoacha shambani ukomae zaidi unakuwa na uzito mkubwa zaidi na ndio unapata fedha zaidi. Hakuna mbolea wala madawa inayohitajika kwa kilimo cha muhogo Rufiji hadi sasa kwa mujibu wa tafiti zilizopo.Tutakuwa na trekta za kulima, buldozers za kufyeka (tutakodi caterpillar na watakaopenda tutachanga tungeze muda zaidi) , mashine ya kupanda na kuvuna ambazo zote tutafanya makubaliano ya kutumia hizo kwa kukodi na baadaye tutakata kwenye malipo.Tunataka kazi nyingi zifanywe na mashine zaidi
The early the better mkuu hapo hata ukipata ekari 50 tu zinakutoa tayari Mkuu Mzuzu ameshasema sio lazima uwe na kampuni iliyokuwa registered go for it brother usisubiri next time kama kuna uwezekano wa kufanya sasa hivi.Sawa Mkuu Sabayi, lakini si wanasema mchuzi wa mbwa huliwa wa moto?
Wengine tunafikiria kuanza kaunti dauni ya kuachana na utumwa mambo leo pindi tukiowa na miradi ya uhakika.
Yes ni kweli sir japo wa mwanzo wako likely kufaidi zaidi kuliko wanaokuja baadaye...
No namaanisha watu mwanzo siku zote wanafaidika zaidi na pia treatment ya mtu tunayeanza naye kukua pamoja haiwezi kuwa sawa na atakayekuja baadaye sir.Kwanini unasema wa mwanzo ndo watafaidi zaidi mkuu? unamaanisha kuwa baadaye mtashusha bei au kuweka masharti magumu?
Si lazima uwe umesajiliwa ila ni muhimu kwa mafanikio zaidi angalia hapo juu tumesema "interested parties, farmers, AMCOS, Cooperative Unions, companies involved in agriculture and farm groups"
Roughly maximum unaweza kutumia Sh 200,000 kwa eka kufyeka na kung'oa visiki, kulima ni Sh 45,000, kupalilia ni sh 45,000, kuvuna sh 50,000, zote ni kwa eka.. kununua mbegu ni kama sh 3000 hivi kwa eka
Eka 1 inaweza kutoa kati ya tani 10 - 15 za muhogo mbichi so kwa eka 100 unaweza kupata tani 1000 hadi 1500.
Bei tutakayoanza nayo ni $50 kwa tani ambayo ukiwa na tani hizo una uhakika wa kupata $50,000 hadi $75,000
So kwa kifupi unaweza kupata kati ya sh 79,000,000 hadi 120,000,000 kwa mwaka kwa eka 100..
Haya karibuni hizo ndiyo projections kwa sasa
Ni jambo njema tukaunganisha nguvu tutafika, siyo mlima kilimanjaro tuu hadi juu kabisa.Tukimaanisha tunaweza kabisa kufika juu ya mlima Kilimanjaro.
Kama trector hilo utaliendesha mwenyewe, gharama lazima zishuke, na pili linakuwa lorry wakati wa mavuno kwako na kwa wenzako.Ukiwa na Tractor lako mwenyewe hizi gharama si zitashuka sana?
Ni kweli mkuu hii inaanza kunipa moyo kuwa na mimi naweza kusonga front kulima Mihogo.Kama trector hilo utaliendesha mwenyewe, gharama lazima zishuke, na pili linakuwa lorry wakati wa mavuno kwako na kwa wenzako.
Kwa hiyo mkuu inawezekana mkamkodisha mtu vifaa (bulldozer) vya kusafishia shamba na tractor ya kulimia then mkamkata kwenye malipo? That's a kind of a soft loan kama ni hivyo huo mpango mtauanza sasa hivi au awamu nyingine? Nijibu tafadhali hii itasaidia sana interested wakulima hasa wadogo kumake decision kuanza na awamu ipiTangu kupanda hadi kuvuna ni kuanzia miezi 7 ila unavyoacha shambani ukomae zaidi unakuwa na uzito mkubwa zaidi na ndio unapata fedha zaidi. Hakuna mbolea wala madawa inayohitajika kwa kilimo cha muhogo Rufiji hadi sasa kwa mujibu wa tafiti zilizopo.Tutakuwa na trekta za kulima, buldozers za kufyeka (tutakodi caterpillar na watakaopenda tutachanga tungeze muda zaidi) , mashine ya kupanda na kuvuna ambazo zote tutafanya makubaliano ya kutumia hizo kwa kukodi na baadaye tutakata kwenye malipo.Tunataka kazi nyingi zifanywe na mashine zaidi
Wapo humu, kwa sasa tunapitia MoU yetu, wakati huo huo shamba mojawapo limeanza na tunaendelea na upanuzi. Tukikamilisha usajiri, break ya kwanza ni Rufiji kwa Mzuzu.
Nilikuwa nimebanwa sana. Nikitia timu safari hii nitakutafute tukutane LTH.Imitulia hiyo kaka mkubwa.. ulipita kipindi flani sikubahatika kukupata mkuu.