Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

Mkuu nilikuahidi kukuona october, Nikifika desemba nitakuwa na kibarua kikali cha ile kazi yetu. Na imepanuka zaidi sasa. Lakini ikibidi hata xmass tuonane mkuu, kuna wadau wa group yetu wanataka kulima mhogo.
.. Red, Mkuu Malila hao wadau wa Group ni wa humu JF?, kwamba mfanye usajili wa members zaidi tuingie humo tufanye pamoja, naona napata response nzuri toka kwa TANMO na Zamazamani hapo juu na wengine endapo wakijitokeza
Unaonaje?
 
Last edited by a moderator:
.. Red, Mkuu Malila hao wadau wa Group ni wa humu JF?, kwamba mfanye usajili wa members zaidi tuingie humo tufanye pamoja, naona napata response nzuri toka kwa TANMO na Zamazamani hapo juu na wengine endapo wakijitokeza
Unaonaje?

Wapo humu, kwa sasa tunapitia MoU yetu, wakati huo huo shamba mojawapo limeanza na tunaendelea na upanuzi. Tukikamilisha usajiri, break ya kwanza ni Rufiji kwa Mzuzu.
 
Mkuu Mzuzu kama nimekuelewa vizuri inabidi uwe walau na kampuni ambayo ipo registered na siyo mkulima anayelima tu hivihivi bila kuwa registered? Mkulima mdogo au wakati ambaye hana registered company lakini ana uwezo wa kuendesha walau hizo ekari 50 ana nafasi gani? costs za kuanzia kusafisha shamba,kuandaa shamba,kulima,kupalilia hadi kuvuna kwa ekari moja inaweza kuwa kiasi gani kwa makadirio? Tafadhali fafanua
 
Nafikiri hiyo ni good idea. Lets do something,kama upo tayari ni pm ile tuelekezane haraka iwezekanavyo

Wakuu wangu, Zamazamani, Kivumah na malila, hata mimi nataka sana kupanda hili gali, msiniache.
Pamoja tunaweza.
 
Ni kweli Malila ila naona kama muda hauko upande wetu ukizingatia deadline ya Mzuzu ilivyo karibu!
I hope hiyo ni Project endelevu mkuu sio lazima kuanza sasa hivi kikundi kikianzishwa sasahivi na kufanya registration next time kinaweza kuingia kwenye hiyo project.
 
Sawa Mkuu Sabayi, lakini si wanasema mchuzi wa mbwa huliwa wa moto?

Wengine tunafikiria kuanza kaunti dauni ya kuachana na utumwa mambo leo pindi tukiowa na miradi ya uhakika.
 
Sasa sisi tuliona kampuni ambazo sio registered inakuwaje na tunauwezo wa kupiga ata hekali 100. Tuna documents za kuonyesha tulivyofanya biashara ya kilimo kikubwa tu pia vipi tunafuzu hapo tujitose.
 
hawa jamaa wanahitaji mhogo mwingi, sisi hata kama tutaingia kwa kuchelewa,sidhani kama kuna tatizo,cha msingi tuwe na uwezo wa kupeleka mhogo bora kabisa pale kiwandani kwao.
 
Mkuu nilikuahidi kukuona october, Nikifika desemba nitakuwa na kibarua kikali cha ile kazi yetu. Na imepanuka zaidi sasa. Lakini ikibidi hata xmass tuonane mkuu, kuna wadau wa group yetu wanataka kulima mhogo.
Hamna shaka mkuu tutaonana tu ukija na kupata nafasi.
 
Mkuu Mzuzu kama nimekuelewa vizuri inabidi uwe walau na kampuni ambayo ipo registered na siyo mkulima anayelima tu hivihivi bila kuwa registered? Mkulima mdogo au wakati ambaye hana registered company lakini ana uwezo wa kuendesha walau hizo ekari 50 ana nafasi gani? costs za kuanzia kusafisha shamba,kuandaa shamba,kulima,kupalilia hadi kuvuna kwa ekari moja inaweza kuwa kiasi gani kwa makadirio? Tafadhali fafanua

Si lazima uwe umesajiliwa ila ni muhimu kwa mafanikio zaidi angalia hapo juu tumesema "interested parties, farmers, AMCOS, Cooperative Unions, companies involved in agriculture and farm groups"

Roughly maximum unaweza kutumia Sh 200,000 kwa eka kufyeka na kung'oa visiki, kulima ni Sh 45,000, kupalilia ni sh 45,000, kuvuna sh 50,000, zote ni kwa eka.. kununua mbegu ni kama sh 3000 hivi kwa eka

Eka 1 inaweza kutoa kati ya tani 10 - 15 za muhogo mbichi so kwa eka 100 unaweza kupata tani 1000 hadi 1500.

Bei tutakayoanza nayo ni $50 kwa tani ambayo ukiwa na tani hizo una uhakika wa kupata $50,000 hadi $75,000

So kwa kifupi unaweza kupata kati ya sh 79,000,000 hadi 120,000,000 kwa mwaka kwa eka 100..

Haya karibuni hizo ndiyo projections kwa sasa
 
Ni kweli Malila ila naona kama muda hauko upande wetu ukizingatia deadline ya Mzuzu ilivyo karibu!

Sio tatizo mkuu huu mradi ni endelevu kama mchangiaji mmoja alivyosema kwa mwaka huu wa kwanza tunahitaji tani 18,000 kwa mwaka na kuanzia mwaka wa 2 tunaproject tani 60,000 kwa mwaka. Hii ya kwanza ni pilot project then tunaexpand to commercial project
 
I hope hiyo ni Project endelevu mkuu sio lazima kuanza sasa hivi kikundi kikianzishwa sasahivi na kufanya registration next time kinaweza kuingia kwenye hiyo project

Yes ni kweli sir japo wa mwanzo wako likely kufaidi zaidi kuliko wanaokuja baadaye...
 
Sasa sisi tuliona kampuni ambazo sio registered inakuwaje??na tunauwezo wa kupiga ata hekali 100..tuna documents za kuonyesha tulivyofanya biashara ya kilimo kikubwa tu pia vipi tunafuzu hapo tujitose.

Karibuni wote kutokuwa registered bado wewe ni farmer tutaweka makubaliaon na wote tutakaoona wanafikia viwango na tunaweka mkataba tufanye kazi..
 
hawa jamaa wanahitaji mhogo mwingi, sisi hata kama tutaingia kwa kuchelewa,sidhani kama kuna tatizo,cha msingi tuwe na uwezo wa kupeleka mhogo bora kabisa pale kiwandani kwao.
Yes tunahitaji tani 18,000 kwa mwaka wa kwanza ambazo ni kama tani 60 hivi kwa siku
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom