Nina toa ushauri kwenye kilimo cha alizeti, mbaazi, maharage na mahindi

Thanks sana ndugu Mkulima2010, hebu nipe data kuhusu Kilimo cha Alizeti mfano kwa Ekari moja naweza kutumia mbegu kiasi gani? Na mavuno yanakuwaje pia changamoto za kilimo cha Alizeti na masoko yake, nataka nikalime maeneo ya Mwangeza-Singida hapo mwakani
 
Thanks sana ndugu Mkulima2010, hebu nipe data kuhusu Kilimo cha Alizeti mfano kwa Ekari moja naweza kutumia mbegu kiasi gani? Na mavuno yanakuwaje pia changamoto za kilimo cha Alizeti na masoko yake, nataka nikalime maeneo ya Mwangeza-Singida hapo mwakani

Maswali kama haya kwa mtama pia hasa mweupe.
 
Natafuta Sunflower Cake hivi hii naweza kupata kwa bei ya chini kabisa Tshs ngapi kwa Kilo
 
Maswali kama haya kwa mtama pia hasa mweupe.
Mtama mweupe unalimwa kwa wingi maeneo ya dodoma na unastawi kwenye mazingira yote ya ukame na mvua nyingi , soko lake ni nzuri sana kwa hapa dar ni hot cake
 
Natafuta Sunflower Cake hivi hii naweza kupata kwa bei ya chini kabisa Tshs ngapi kwa Kilo
Msimu huu maeneo mengi mvua elisumbua na mavuno ya Alizeti yamekuwa chini kidogo bei ya gunia la Alizeti ni sh30,000/= hadi 35000/= gunia moja ni wastani wa kg 50-60 natoa lita 25 ya mafuta kwa gunia plus mashudu yanakuwa faida
 
thanks sana ndugu mkulima2010, hebu nipe data kuhusu kilimo cha alizeti mfano kwa ekari moja naweza kutumia mbegu kiasi gani? Na mavuno yanakuwaje pia changamoto za kilimo cha alizeti na masoko yake, nataka nikalime maeneo ya mwangeza-singida hapo mwakani
unaweza kulima alizeti ukachanganya na mahindi na mbazi gharama za kulima ekari moja kwa maeneo ninayofahamu mimi dodoma ni kukodi shamba , mbegu, palilizi , kusimamia na gharama za kuvuna ni kati ya 150,000/= hadi 230,000/= mavuno kwa ekari mahindi 7 hadi 10 gunia, alizeti gunia 5 hadi 8 , mbazi gunia 1 hadi 2. Mahindi bei yake kwa gunia shambani 30,000/= ukiwa hadi desemba unauza 50,000/= hadi 60,000/= alizeti gunia 35000/= ukiwa hadi desemba ni 60,000/ kwa gunia mbazi gunia ni 70,000/= hapo ukivuna tu kujuwa jumlisha mapato toa gharama = faida.
 
Msimu huu maeneo mengi mvua elisumbua na mavuno ya Alizeti yamekuwa chini kidogo bei ya gunia la Alizeti ni sh30,000/= hadi 35000/= gunia moja ni wastani wa kg 50-60 natoa lita 25 ya mafuta kwa gunia plus mashudu yanakuwa faida
Shida yangu ni hayo mashudu tu, bei yake ipo vipi kwa gunia na gunia ni kgs ngapi
 
unaweza kulima alizeti ukachanganya na mahindi na mbazi gharama za kulima ekari moja kwa maeneo ninayofahamu mimi dodoma ni kukodi shamba , mbegu, palilizi , kusimamia na gharama za kuvuna ni kati ya 150,000/= hadi 230,000/= mavuno kwa ekari mahindi 7 hadi 10 gunia, alizeti gunia 5 hadi 8 , mbazi gunia 1 hadi 2. Mahindi bei yake kwa gunia shambani 30,000/= ukiwa hadi desemba unauza 50,000/= hadi 60,000/= alizeti gunia 35000/= ukiwa hadi desemba ni 60,000/ kwa gunia mbazi gunia ni 70,000/= hapo ukivuna tu kujuwa jumlisha mapato toa gharama = faida.

Nashukuru sana mkubwa, ngoja nijipange mapema sana ili msimu ukifika niwe nimejiandaa vema
 
Kwa ushauri huu napata wasiwasi

Mkuu itakuwa amekosea ktk kuandika wazungu wanaita typing error km sijakosea ila ushauri wake ni mzuri ila kuna uzi wake mmoja kauanzisha wa matractor kaonesha hana uzoefu na kilimo
 
Mimi nataka mafuta yaliyokamuliwa ni yachuje na machine ya kisasa nipaki then niuze

Mkuu mwaka huu haukuwa mzuri sana sehemu nyingi mazao yote yamekataa hizo mashine zikoje mkuu tusaidie kuzijua maana naanda ekari mia za shamba la alizeti kiteto
 
Mkuu mwaka huu haukuwa mzuri sana sehemu nyingi mazao yote yamekataa hizo mashine zikoje mkuu tusaidie kuzijua maana naanda ekari mia za shamba la alizeti kiteto
Mkuu kuwa makini sio maeneo yote ya kiteto yanafaa kwa kilimo maeneo mazuri ni Dosi dosi , engusero, Nchinila, Mbiri, kazi ngumu , weza mtima, ramba la mbogo , kirashi, ndirigishi, lugine , magungu, Songambele, ngipa, lalaa , mreno, chekanao, ifugusa, kaza roho.KUWA MAKINI na mashamba ya kichanga maeneo ya matui kama unakwenda ifugusa , baadhi ya maeneo ya engusero. ANGALIA MASHAMBA YENYE UDONGO MWEKUNDU PIYA MAENEO YA MBUGA UDONGO MWEUSI ILA YANAHITAJI MVUA NYINGI.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Ndugu KIOGWE ni maeneo yapi kiteto eli nikupe ushauri vizuri, maana ukienda kichwakichwa utapewa shamba bovu la kichanga au lilo choka unawezza kutaja kijiji na eneo la shamba lipo upande gani, NINA IFAHAMU VIZURI KITETO KWA KIASI KIKUBWA
 
Mzee wa manzese kuna mashine nzuri za kukamua mafuta za bei rahisi sido wanatengeza piya zipo za india zinauzwa madukani, piya kuna jamaa moja anatengeneza na kukupa kwa mkopo ukiwa tayari nikuunganishe naye. Changamoto kubwa ni kwenye manunuzi ya alizeti ushindani ni mkubwa sana inatakiwa uwe na mtaji mkubwa, ununuwe alizeti nyingi wakat wa mavuno june na july bei ikiwa chini kidogo kwa kuanzia september, october bei inakuwa juu sana ya alizeti
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Mkuu nakushkru kwa elimu yako naona INA ushawishi. Naomba nijue ekari moja ya alizeti inaweza kutoa gunia ngapi na maandalizi mpaka unavuna mini gharama yake?
 
Mkuu Jackson Turary kwa maeneo ya kondoa , kiteto, wilaya chamwino, na chemba unaweza changanya mahindi mbaazina alizeti eli kupunguza gharama za kilimo piya hayo maeneo hayatumie mbolea unalima bila mbolea piya ni kilimo kinachotegemea mvua, angalia hapo juu nilitoa mchanganuo
 
Back
Top Bottom