DE FULE
JF-Expert Member
- Jan 10, 2013
- 1,214
- 704
Ifuatavyo tangu October 2??Hallo, si kweli kama unavofikiria naombeni kuandika Maelezo kama ifuatavyo
Jiheshimu wewe
Ifuatavyo tangu October 2??Hallo, si kweli kama unavofikiria naombeni kuandika Maelezo kama ifuatavyo
Mjini hapa kuna utapeli wakila aina jamaa kaona kabanwa kakimbia moja kwa moja.Tuwe makini na hii kampuni,kwanini kakimbia kama ni mkweliHallo, si kweli kama unavofikiria naombeni kuandika Maelezo kama ifuatavyo
eheee kaka bilion moja ama milion mojaHiyo kampuni ni ya kitapeli nilishawai kuqafuata maelezo waliyonipa na maswali niliyowauliza niliona ni matapeli kabisa
Wanadai kila mwanachama atakayejiunga nao atapata mtaji wa bil 1
Ni matapeli kama anakataa aje hapa nimuulize maswali kadhaa na nitaweka audio ya mazungumzo niliyofanyanao kwa mda wa saa moja na nusu
Kwel mkuu usemacho nkuunga mono huy jamaa cjmpt vzr ila anaonekn mfisidi na mchoyo wa materialhuu ni ulaghai kama utapeli mwingine wowote unaoendelea hapa bongo. Hawa wanaitwa wakulima wa keyboards au kwa jina lingine wauza maneno. watakuambia utoe 100000 tsh ya form wanapiga bla bla nyingi hakuna jipya. wao interest yao no hiyo laki moja ya kingilio. wao wapo ukonga mombasa. jiulize huko kuna Mashamba? Waambie wakuonyeshe Mashamba yao yako wapi ili ukajifunze huko. wakikuonyesha natembea uchi toka kariakoo hadi mbezi. Mtu anaambiwa eleza vizuri anasema piga simu. kueleza si rahisi kwa kuandika hapa kuliko watu elfu moja kupiga simu? Watu wengi wamedanganyika na hawa wauza maneno. Huwezi kuwaongoza watu kwenye kitu ambacho wewe mwenyewe ufanyi. wanakuambia tutakuanzishia shamba. jiulize kwanini wao wasianzishe ya kwao? Hawa na Amsha ni ndugu moja. Wanaongea kama wahubiri wa kilokole waulize maswali sasa ndiyo utachoka. Mimi sina mengi ni hayo tu.
Ninyi kweli ni matapeli haya ona alivyokimbia, leta hayo maelezo ya kitapeli hapa ambayo unayatunga huko sasa hivi. No wonder umeshindwa hata kuleta hayo maelezo.Hallo, si kweli kama unavofikiria naombeni kuandika Maelezo kama ifuatavyo
Duuu!!! Vipeperushi havilipiwi aiseeJamaa hawa nliwah hudhuria semina yao tarh 22/10/2016 mjin iringa ktk ukumbi uliopo chuo kikuu cha Ruaha yaan RUCU. Alikuwepo mama NAMAINGO,Mkuu wa mkoa,mkuu wa chuo na NSSF. Waliongea meengi na maigizo ambayo sikuelewa hata kidogo nkaona labda yale malecture rooms yamenipa stress ndo maana sikuelewa ngoja niwafuate ofisin kwao.
Jamaa hawa ni MATAPELI wakubwa: waliniuzia vipeperush vyao kwa sh 2000,Eeeh nkahoji nan anatakiwa kulipwa ni mimi ninaewatangaza au wao wanaotangazwa?,ooh hyo ni hela ya maji ya ofisi khaa-PUMBAVU!. Ok mnafanyaje sasa shughuli zenu,.
Tunaanzisha kijiji cha KILIMO BIASHARA,ntarudi
Mwezi umeisha,Ninyi kweli ni matapeli haya ona alivyokimbia, leta hayo maelezo ya kitapeli hapa ambayo unayatunga huko sasa hivi. No wonder umeshindwa hata kuleta hayo maelezo.