Mtumishi Mkuu
JF-Expert Member
- Mar 31, 2011
- 259
- 92
Heshima mbele wakuu.
Ninaomba kwa wale wataalamu, nina mwanangu ana miaka mitatu, siku za hivi karibuni ameanza kukohoa sana haswa anapolala na akila wkt mwingine anatapika. Hospitali tumempeleka akachekiwa tukaambiwa ni hali ya hewa tu maana hana ht homa.
Kuna mtu nimemwambia khs hili akadai inaweza kuwa ana kilimi ambacho kinamsababisha akohoe, hivyo atatakiwa kikakatwe. Je, hili laweza kuwa sawa? Ni sahihi kumkata mtoto kilimi? Natanguliza shukrani
Ninaomba kwa wale wataalamu, nina mwanangu ana miaka mitatu, siku za hivi karibuni ameanza kukohoa sana haswa anapolala na akila wkt mwingine anatapika. Hospitali tumempeleka akachekiwa tukaambiwa ni hali ya hewa tu maana hana ht homa.
Kuna mtu nimemwambia khs hili akadai inaweza kuwa ana kilimi ambacho kinamsababisha akohoe, hivyo atatakiwa kikakatwe. Je, hili laweza kuwa sawa? Ni sahihi kumkata mtoto kilimi? Natanguliza shukrani