Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 233
Katika hizo 200mil, kama 10mil zimechangiwa na familia ya Kikwete. Hivyo unaweza ukakuta 50mil imetoka kwa viongozi wakuu wa CCM wa Taifa na Mkoa. Hiyo itamaanisha kwa wananchi wamepata 150mil tu. Hiki ni kiwango cha kumfanya JK afikirie mara 2. Katika enzi zao kiwango kama hicho kilikuwa kinatolewa na fisadi mmoja tu.
Bila shaka you mean yule fisadi mmojawapo wa rada ambaye peke yake aliwamwagia UVCCm sh 400 million? Na hii ilikuwa mbele ya muungwana wetu, 'mpiganaji na 1' wa ufisadi hapa nchini!!!!!!!!! Tutafika.