M-mbabe
JF-Expert Member
- Oct 29, 2009
- 13,203
- 23,020
Jamani, wengine tuko huku mashenzini leo... hakuna cha radio wala TV na leo kuna hii "crunch" game ya Tanzania Bara na Uganda semifinal ya CECAFA Challenge Cup.
Hivyo tunaomba wenye access ya kujua kinachoendelea wawe wanatupa updates kupitia hapa jamvini.
Mubarikiwe!!!
Hivyo tunaomba wenye access ya kujua kinachoendelea wawe wanatupa updates kupitia hapa jamvini.
Mubarikiwe!!!