Kilimanjaro stars aibu

yoyo naona umerudisha ka-mdudu kwenye avatar
Ni shukrani kwa moderators.....wamenifanyia hisani....
Mimi nalia na kilimanjaro stars....watz wanalalama na kuweka usimba na uyanga kwenye timu....uliona mashabiki wa Yanga walivyokuwa wanaishabikia ZIM? aibu kweli....
 
Haiwezekani timu inafungwa halafu inasonga mbele
Lol...mimi mwenye nimeshangaa ila nikaambiwa ni second best looser nikasema haya banaa....Belo sasa Kilimanjaro asipopita unafikiri CECAFA watatengeneza hela wapi maana roho yao iko hapo Kilimanjaro akitolewa mapato kwishney...:lol:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom