Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Tatizo lake anavutia chooni...lolAaah!kumbe naye anazitumia!basi bora aachane nazo,zinampeleka kubaya!
Tatizo lake anavutia chooni...lolAaah!kumbe naye anazitumia!basi bora aachane nazo,zinampeleka kubaya!
hussen javu, nudir bakar, nditi na ngasa ndo wameanza kwa upande wa mbele. katikati leo kili wamekaa vizuri na mbele wanatia moyo. Lakini cha ajabu malawi wanashangilia kwa sauti kuliko watanzania walio wengi uwanjani. Mia
Nimechaka sana kuna jamaa wameshika bango kubwa limeandikwa `wazee wa best looser leo tunawazomea`Watanzania wanasubiri kuzomea......kili staz wanakosa goli hapa, jamaa wameokolea kwenye mstari.