Kilimanjaro Music Awards 2012

huyu bib anayeimba na kina Patricia Hilary anaitwaje?

Mashallah sauti hiyo....
 
Jamani tàrabu za zamani zilikuwa zimetulia kwele kweli, JAMANI MAPENZI YANANIKATIZA ÉE,
 
vifuu tundu oyeeeeeee!!!
AT oyeeeeeeee
Ole wenu msopitwa kama kasuku....
 
Wana JF ni nini hii mbona aibu sana?

Kha! Haya mambo yao ya tuzo yanaboa sana, haujachangamka. Hivi hamjifunzi za VMA, na zingine za Marekani! Naenda kulala kha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom