Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu uliiona hiyo Hoteli ilivyokuwa ya umma wakati wa nyerere, nyang'anyang'a, unapishana na panya buku Simba Grill. Zee lile limejuwa kuiuwa nchi.
usipagawe hyo ni camera tu npazur lakin sio khvyo
Halafu uliiona hiyo Hoteli ilivyokuwa ya umma wakati wa nyerere, nyang'anyang'a, unapishana na panya buku Simba Grill. Zee lile limejuwa kuiuwa nchi.
You have concluded on a person by picking one item which is the situation at Kilimanjaro hotel under TTC. I think you have been harsh and disrespective and am wondering why????Halafu uliiona hiyo Hoteli ilivyokuwa ya umma wakati wa nyerere, nyang'anyang'a, unapishana na panya buku Simba Grill. Zee lile limejuwa kuiuwa nchi.
Uzawa si kigezo?
Hivi unajua kuwa waisraeli ndiyo walioijenga?
mkuu sidhani kama imejengwa na waisraeli katika video hii wamesema investor in UNITED ARABS EMIRATE DUBAI ABS CONSTRUCTION COMPANY
。 oh, sasa nimekupata mkuuWao ndiyo walioijenga (the kilimanjaro) miaka ya sitini kabla nyerere hajavunja uhusiano nao (baada ya six day war), ni hao hao ndiyo waliojenga hospitali ya bugando Mwanza na st Margarete hospital (sasa Muhimbili)
uzawa si kigezo?
Wazawa si ndio walioiuwa ilivyokuwa ya umma?