OK, kumbe ni walikuwa wanagombea mwanamke! Hebu iwekeni picha ya mwanamke huyo tuone alivyo bomba hata afande kuondoka kabisa.
OK, kumbe ni walikuwa wanagombea mwanamke! Hebu iwekeni picha ya mwanamke huyo tuone alivyo bomba hata afande kuondoka kabisa.
Hizi kei hizi! Cjui ziliwekwa nini??? Kwa nini usikae na kei ya mkeo tuuuuuuuuuu! Nways rip kamanda!
Strange...Dorothy ana track record ya kufiwa na waume? Hili nalo ni la kuchunguzwa
kama ndiyo huyu hata mimi nisingeacha bora risasi lkn nakuwa nimefaidi...weeee
[/QUOTE]Ni mama la haja lakini napata shaka kidogo kama kweli hii picha ni yeye kweli....nahisi ni picha imekuwa downloaded kutoka kwenye blogs,kama mailblog na n.k...
kamanda si angetulia na mke wake tu,nyumba ndogo zinaponza na mwisho wake unaweza kuwa mauti,RIP kamanda ulazwe panapostahili
[/QUOTE]Ni mama la haja lakini napata shaka kidogo kama kweli hii picha ni yeye kweli....nahisi ni picha imekuwa downloaded kutoka kwenye blogs,kama mailblog na n.k...
Mh! Jamani mumsamehe ashakufa pambaneni na teacher yu haiuzinzi unaua, nadhani afande alisahau
Kweli apumzike kwa amani! Yani binadamu wengine sijui ni mijitu! mtu unamtoa uhai binadamu mwenzio kwa mwanamke ambaye pia si mali yake kihalali! jamani tunakwenda wapi!